Balozi Kagasheki ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya PAROLE

Mbowe ndiye Mrema wa Awamu ya 6 πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
jibu swali nimekuuliza babako hafai hio nafasi?
Acha kutaja taja maswala ya mrema hapa kama unataka tumjadiri mrema sema ili upate majibu ya mrema.
Kwamba mbowe awe mrema kisa umesema wewe, labda wapumbavu pekee walioaminishwa na yule dikteta kuwa chadema kufikia 2020 itakuwa imekufa ndio watakuamini.
 
Eti wangempa hata mayala akalambepo mkuu nimecheka sana
 
Ila hawa jamaa wanajua kukumbukana huyo kagasheki hela alizochuma alipopita wizara mbalimbali enzi za Kikwete hazikumtosha.Ila nazo Mamlaka za uteuzi zingemuacha huyo mzee apumzike alee wajukuu zake mbona misisiyemu ipo kibao ambayo siyo aged inaweza fanya hiyo kazi mpaka mingine imejipa majina ya aibu ya kujiita chawa si ingekumbukwa
 
Samia alifata nini Dodoma? Amekuwa Dsm toka 21/03 juzi kaenda Dodoma jana Karudi Dsm
 
vijana wanaliwa kichwa mpaka hapo watakapojiongeza na kuacha uchawa.wazee wanazidi kujiimarisha kwenye mihimili ya kiubaguzi.
 
huyo mzee nasikia aliuza rasilimali zake zote kule bukoba pamoja na ile radio yake ya kisiasa ya kasibante na kutokomea nje ya nchi.naona maisha yamempiga na mama kamkumbuka as if hakuna vijana ambao wanasifa ya kuteuliwa.
 
Mbowe ashapata mkono wa Idd tayari
Freeman Aikaeli Mbowe anahusika wapi hapa? Mbona huishi kumtaja taja kila wakati unapokuja jukwaani humu. Kwa taarifa yako, vichwa kama hivi ni adimu sana. Nakutakia kheri na kila lililo jema Kamanda FAM. Mungu awalinde wote wenye mapenzi mema na hata wenye roho ovu wabadilike
 
Dah,Pascal siku hizi anatetea ata mambo ya kiwaki,kweli wangempa hicho cheo angalau atumie LLB yake![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Balozi amechukua nafasi ya

Augustine Lyatonga Mrema.Watu wasio na hatua wanasota ndani kwa kesi za kubambikiziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…