ππππππΏππΏππΏsawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππΏππΏππΏsawa
Wote huu ni Uthibitisho wa madai yangu siku zote kwamba wanaojiita Wakristo Huwa wanajiona Wana Haki sana ya kutawala.Ijumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Mbelwa anapenda vitu vyeupe...Ludewa moja hiyo, zenji zilipendwaLakini mbona majina yao ya kwanza yanafanana?
Pia wengine wanadai ni mzenji salim A Salim.
Sasa sijui tuegemee wapi.
We're totally confused π€
We mutu ya wapi! Udugu huwa kwenye jina la ukoo.Mkuu nje ya mada. Hivi huyu balozi mke wake Angelah Kairuki ana undugu na aliyekuwa chancellor wa Ujerumani Angelah Markel? Kwasababu majina yao ya kwanza Angelah yanafanana.
Wote huu ni Uthibitisho wa madai yangu siku zote kwamba wanaojiita Wakristo Huwa wanajiona Wana Haki sana ya kutawala.
Waislamu si Mnaona?
Moral authority ipi hasa?Na ndiyo ukweli wenyewe, bila ya Ukristo Tanzania leo hii ingekuwa kama chad, Maurtania, Mali au Somalia.
Ukristo una moral authority ya kutawala Tanzania, kwa maana kila mtu atanufaika hata wasio na Dini kwa maana ukristo unajenga Taifa la kila mtu hata kwa wasio Wakristo β¦
Moral authority ipi hasa?
UpuuziUnafahamu kwamba Viongozi Waislamu na watu wenye kazi nzuri Tanzania bila ya Kanisa wasingesoma ?
Upuuzi
Pumbavu.Wote huu ni Uthibitisho wa madai yangu siku zote kwamba wanaojiita Wakristo Huwa wanajiona Wana Haki sana ya kutawala.
Waislamu si Mnaona?
Ukizinguwa unazinguliwa.Pumbavu.
Acha kuleta mada za ajabu ajabu, kaa kimyaπ€£π€£Mkuu nje ya mada. Hivi huyu balozi mke wake Angelah Kairuki ana undugu na aliyekuwa chancellor wa Ujerumani Angelah Markel? Kwasababu majina yao ya kwanza Angelah yanafanana.
Aliyemteua anasema eti ana uzoefu wa mambo ya fedha kimataifa,hivyo atasaidia kuomba mikopo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ijumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Ila huyu Kairuki anapendelewa sana, amekaa sana china, sasa hv anapelekwa understand uingereza! Atakuwa, na godfather huko ikuluIjumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Mtu humjui unaazaje kumjadili uwezo wake?Ijumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Kwa ujinga wenu kama huu hizo Bandari wapewe tu hao Dp world tena zote mpaka Bandari kavuIjumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Kwa ujinga wenu kama huu hizo Bandari wapewe tu hao Dp world tena zote mpaka Bandari kavuIjumaa ni shida
Mtu wa Tanga yule mbondeiAngelah kairuki ni mpare
Mpare na mjeruman wapi na wapi