peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
- #41
Toeni na MagogoniKwa ujinga wenu kama huu hizo Bandari wapewe tu hao Dp world tena zote mpaka Bandari kavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toeni na MagogoniKwa ujinga wenu kama huu hizo Bandari wapewe tu hao Dp world tena zote mpaka Bandari kavu
Kuchunga mbuzi kwaoYule mama wa Uingereza (Asha Rose Migoro) kapelekwa wapi? 😳
ukweli umekuuma mpaka kumoyo😁Kwa ujinga wenu kama huu hizo Bandari wapewe tu hao Dp world tena zote mpaka Bandari kavu
Mpare wa huko same na mwaka 2020 alitia nia ya kugombe ubunge akashindwa na David mathayoMtu wa Tanga yule mbondei
Ni mtu na dada yakeMkuu nje ya mada. Hivi huyu balozi mke wake Angelah Kairuki ana undugu na aliyekuwa chancellor wa Ujerumani Angelah Markel? Kwasababu majina yao ya kwanza Angelah yanafanana.
Ijumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Acha fix..MpareMtu wa Tanga yule mbondei
😂😂😂Fala sana we jamaaMkuu nje ya mada. Hivi huyu balozi mke wake Angelah Kairuki ana undugu na aliyekuwa chancellor wa Ujerumani Angelah Markel? Kwasababu majina yao ya kwanza Angelah yanafanana.
Yap! Ni ndugu wa damu moja kabisa kama ilivyokuwa kwa u udugu wa John Paul II (papa) na John Pombe Magufuli.Mkuu nje ya mada. Hivi huyu balozi mke wake Angelah Kairuki ana undugu na aliyekuwa chancellor wa Ujerumani Angelah Markel? Kwasababu majina yao ya kwanza Angelah yanafanana.
Ni mama yake ndo mtu wa tanga mmbondei nimekumbuka. Uko sahihi.Acha fix..Mpare
Mtoa mada acha udini jadili hoja "Qmmk'O"Ijumaa limekuwa tatizo.
Aliyepelekwa China sijajua hata ataanzia wapi? Aliyekuwepo China amefanya makubwa na uwekezaji uliongezeka.
Siku ya Ijumaa sijajua ataanzia wapi na ana uwezo mdogo kufikiria na kutafsiri mambo.
Kwa kifupi Ijumaa ni tatizo.
Unamaanisha nini?
Si tetesi zilisema mwendazake alishapindua kitambo, kurudia si mbaya😁Kwamba??? Mnataka kupindua ndo za watu?? Uhaini wa ndoa ni mbaya kuliko wa Nchi, maana bila familia hakuna Taifa
Ukweli gani?ukweli umekuuma mpaka kumoyo[emoji16]
Anamaanisha uache udiniUnamaanisha nini?
Huo huo unaoujua rohoniUkweli gani?