Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mpuuzi huyu aachie ngazi aje alime na soko tayari analijua
Lima mianzi mzee, ukishindwa iuza basi unagema ulabu unaitwa Ulanzi na Mkangafu, unauza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi huyu aachie ngazi aje alime na soko tayari analijua
waliwahi kutuambia tufuge kware eti mayai yake yana soko kubwa duniani 😂
Ajihuzulu aje tulime naye tayari ameshaona na sokohawa wanahamasisha wengine walime ili wapate hasara aanze kwanza yeye si ameiona fursa?wao wale bata wengine wapinde migongo na jembe la mkono kama wale waliotapeliwa kwenye zao la alovera pale njombe na kagera.atoe mfano kwanza yy mapori tanzania si mengi tu tena yy ana mtaji mkubwa aje awekeze ndipo na ss tutafuatia.
We umelima wapi?Lima mianzi mzee, ukishindwa iuza basi unagema ulabu unaitwa Ulanzi na Mkangafu, unauza
Mimi nimeona part ya CV katangaza, sijaona kilimo hapo hata kidogo, shithole kabisa
Haya majitu, hata kwa picha tu yanaonekana arrogant. Yeye atoe mfano, hana hata bustani tu ya mianzi, alafu anahimiza watu walime, eti ana extensive experience and expertise in international org & diplomacy, what a waste, si aje alime watu waone atoe mfano, alafu wamfuate. Hiki kilimo cha majukwaani au mitandaoni ni tabu sana. Kazi kupiga mapicha tu na kuzunguka ktk viti vya kunesa, kilimo hata hajui ni nini, anajua kilimo cha kuongea ongea tu.
Au katuwekea part ya CV yake tujue anajua KILIMO?
HahahaNilitamani yeye awe ni mfano bora
... wala hajasema hivyo; umemkwoti vibaya; kasema LIMENI; yeye hayumo!Hahahah
Anasema tulimeni
Ova
Kuna watu wamebarikiwa duniani aisee... huyu yuko jikoni tangu 1970 huko kama waziri mdogo, waziri, balozi hadi hii leo........ wala hajasema hivyo; umemkwoti vibaya; kasema LIMENI; yeye hayumo!
Mpuuzi huyu atakuwa ameona kwenye gazeti, Pinda alikuwa anapigia debe asali kumbe yeye analima zabibu na hataki wengine wajue, hawa watu ni wanafiki wakubwaHahaha
Kweli,aache ajira aingie kulima
Ova
Hahaha... wala hajasema hivyo; umemkwoti vibaya; kasema LIMENI; yeye hayumo!
HahahaMpuuzi huyu atakuwa ameona kwenye gazeti, Pinda alikuwa anapigia debe asali kumbe yeye analima zabibu na hataki wengine wajue, hawa watu ni wanafiki wakubwa
OkeyHahaha
Pinda si ana export asali yake
Ova
Teteteete
Ni usanii tupuHahaha
Pinda si ana export asali yake
Ova
... wahitimu wanalia tatizo la ajira huyu hawezi kuelewa kabisa! Hawa ndio wa kwanza kuwafokea wasaka ajira "mkajiajiri" wakati yeye mwenyewe for almost 40 yrs kaajiriwa! Very funny!Kuna watu wamebarikiwa duniani aisee... huyu yuko jikoni tangu 1970 huko kama waziri mdogo, waziri, balozi hadi hii leo.....
Yaani kiufupi amekua kwenye utamu tangu Magufuli anatembea peku huko chato, anaingia shule ya msingi hadi anakuja mjini na kuwa waziri, rais hadi kifo chake lakini mzee Mchumo yupo tu ananyonya asali kwa mrija........