Kupitia chombo fulani cha habari, nimemsikia Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberatha Mulamula akidai kwamba kwa sasa Wamarekani wanaamini kuwa ni salama kuwekeza Tanzania, lakini hasemi ni wakati gani Wamarekani waliona si salama kuwekeza Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Huyu ni waziri wa mambo ya nje au balozi muwakulishi wa Marekani kwa Tanzania?kupitia chombo fulani cha habari, nimemsikia Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberatha Mulamula akidai kwamba kwa sasa Wamarekani wanaamini kuwa ni salama kuwekeza Tanzania. lakini hasemi ni wakati gani Wamarekani waliona si salama kuwekeza Tanzania?
aseme.
Hakuna Uwekezaji wa Maana Marekani anaweza fanya Tanzania, Marekani anawekeza kwenye nchi zenye uchumi mkubwa sana China ndo size yetu na India ila sio Marekani,kupitia chombo fulani cha habari, nimemsikia Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberatha Mulamula akidai kwamba kwa sasa Wamarekani wanaamini kuwa ni salama kuwekeza Tanzania. lakini hasemi ni wakati gani Wamarekani waliona si salama kuwekeza Tanzania?
aseme.
... aliibuliwa huko huko Marekani alikokuwa akiishi miaka na miaka akifundisha na kazi zingine. Je, sio wakala wa mabeberu?Huyu naaaae....
... maisha yake kwa sehemu kubwa kaishi na kufanya kazi huko huko Marekani hadi Rais Samia alipomuibua huko! Huyu sio wakala wa mabeberu? Au kwa kuwa CCM?Hivi Huyu ni waziri wa mambo ya nje au balozi muwakulishi wa Marekani KWA Tanzania?...
Hamna waziri hapa Zaid ya Dalali wa Marekani tu,Huyu na NYALANDU ndo wale wale... maisha yake kwa sehemu kubwa kaishi na kufanya kazi huko huko Marekani hadi Rais Samia alipomuibua huko! Huyu sio wakala wa mabeberu? Au kwa kuwa CCM?
Waafrika toka lini tukajielewa? Tumekuja duniani kulamba matako ya watu weupe..race yetu ya ajabu sana. Tupo tupo tu duniani..angalia hata tunavyoishi ...miji yetu maisha yetu. Hata wanaotakiwa kututoa kwenye umasikini wako busy kuhakikisha wazungu wanazidi kuendelea kwa resources zetu wenyewe.Hivi Huyu ni waziri wa mambo ya nje au balozi muwakulishi wa Marekani KWA Tanzania?
Mbona kama ana base kuwasafishia njia sana Wamarekani kwa TZ?
Tena hana hata time na CHINA wakati ndo walau wanatuboost na vibizaa vyao deli feli nasi tuwe tumetumia
... Mataga ni wajinga sana Mkuu. A simple example, mwaka 2019 GDP ya Tanzania ilikuwa USD 63.1bn. Vyuo vikuu viwili tu vya Marekani (Harvard & Texas) vina utajiri wa USD 38.3 + 30.8 = USD 69.1! (Ref. The 100 Richest Universities: Their Generosity and Commitment to Research - TheBestSchools.org).Hakuna Uwekezaji wa Maana Marekani anaweza fanya Tanzania, Marekani anawekeza kwenye nchi zenye uchumi mkubwa sana China ndo size yetu na India ila sio Marekani,
... Mama alishauriwa vibaya ama? Atengue?Hamna waziri hapa Zaid ya Dalali wa Marekani tu,Huyu na NYALANDU ndo wale wale
Nakuunga mkono ,katiba iliyomwezesha rais awamu 5 kufanya anavyaka aiwezi kumshawishi mwekezaji kwa kweli.ukiamka tamko ndio sheria ,bunge ,mahakama mikononi mwa mtu mmoja neee kwa kweliKama katiba hautabadilishwa hao waawekezai wajiandaye kukimbia nchi. Kivipi? Subiri utaona.
HahahahahahahahahaHivi Huyu ni waziri wa mambo ya nje au balozi muwakulishi wa Marekani KWA Tanzania?
Mbona kama ana base kuwasafishia njia sana Wamarekani kwa TZ?
Tena hana hata time na CHINA wakati ndo walau wanatuboost na vibizaa vyao deli feli nasi tuwe tumetumia
Huyu Mama ni wale wasomi ambao wako too much brainwashed na western philosophies kiasi kwamba hana akili ya kwake aliyobaki nayo when it comes kwenye hiyo taaluma yake zaidi ya hicho alichofundishwa.Hivi Huyu ni waziri wa mambo ya nje au balozi muwakulishi wa Marekani KWA Tanzania?
Mbona kama ana base kuwasafishia njia sana Wamarekani kwa TZ?
Tena hana hata time na CHINA wakati ndo walau wanatuboost na vibizaa vyao deli feli nasi tuwe tumetumia
Huyu mama naye atakuja kujipambanua kungali mapema sana kwamba hajui kitu, ni mlamba viatu tu vya wakubwa.kupitia chombo fulani cha habari, nimemsikia Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberatha Mulamula akidai kwamba kwa sasa Wamarekani wanaamini kuwa ni salama kuwekeza Tanzania. lakini hasemi ni wakati gani Wamarekani waliona si salama kuwekeza Tanzania?
aseme.