Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
SawaKwa akili za Watanzania, ukitaka uonekane wa Maana unachotakiwa kufanya ni kufokafoka tu.
Ni vyema kakumbuka kuwa huo mradi ni juhudi za Kikwete.
Juhudi za serekaliKwa akili za Watanzania, ukitaka uonekane wa Maana unachotakiwa kufanya ni kufokafoka tu.
Ni vyema kakumbuka kuwa huo mradi ni juhudi za Kikwete.
Uislam umekufubaza, sahizi kichwan umebakisha matope ya kuvukia Barabara .Kwa akili za Watanzania, ukitaka uonekane wa Maana unachotakiwa kufanya ni kufokafoka tu.
Ni vyema kakumbuka kuwa huo mradi ni juhudi za Kikwete.
Huyu jamaa ni kweli mchapakazi na mzalendo ila aina ya siasa zake kali za kijamaa mm huwa sizikubali kabisa..maana nchi yetu kwa sasa haiitaji siasa za aina hiyo.Najua kuna Msiba, ila Kilio kilivyokua kwetu Kuna sherehe zilifanyika!
Ni kweli wazuri Hawafi.
Mhe. Polepole anawaonya wale wanaokwamisha maendeleo. Ilitafutwa Mbinu za kumnyamazisha lakini ndio kwanza akiwa ndani ya Kaunda Suti Nyeusi, Safii kama Nyerere vile anawaonya walafi.
πππππMuhuni kama muhuni...