Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
πππππππππππππ π ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππππππ π ππ
Najua kuna Msiba, ila Kilio kilivyokua kwetu Kuna sherehe zilifanyika!
Ni kweli wazuri Hawafi.
Mhe. Polepole anawaonya wale wanaokwamisha maendeleo. Ilitafutwa Mbinu za kumnyamazisha lakini ndio kwanza akiwa ndani ya Kaunda Suti Nyeusi, Safii kama Nyerere vile anawaonya walafi.
Sasa huo uungwana na kuwa mwenye dhati kweli ndiyo ujamaa wenyewe na ndipo wanapojikuta wanampenda wale waliokuwa wanachukia ujamaa huku hawaelewi kiundani ujamaa ni nini.Huyu jamaa ni kweli mchapakazi na mzalendo ila aina ya siasa zake kali za kijamaa mm huwa sizikubali kabisa..maana nchi yetu kwa sasa haiitaji siasa za aina hiyo.
Ila ni mtu muungwana na mwenye dhati ya kweli kabisa.
Long live Humphrey Pole Pole.
-Kaveli-
Weee jamaaa una nongwa na waislam daaaa!!! Hivi waislam wakihama nchi ukabaki peke yako utafaidika na nini?Uislam umekufubaza, sahizi kichwan umebakisha matope ya kuvukia Barabara .
Na Kwa Akili hizi, Wacha Israel iendelee kuwapiga mashariki ya Kati yote.
huo mradi ni juhudi za Kikwete.
Tatizo mradi unahujumiwa waziwazi, eti serikali inanunua dawa nje wakati ndani inakiwanda kinazalisha dawa hizohizoKwa akili za Watanzania, ukitaka uonekane wa Maana unachotakiwa kufanya ni kufokafoka tu.
Ni vyema kakumbuka kuwa huo mradi ni juhudi za Kikwete.
Umesikiliza upande mmoja tu, usihukumu.Tatizo mradi unahujumiwa waziwazi, eti serikali inanunua dawa nje wakati ndani inakiwanda kinazalisha dawa hizohizo
Huyo anajaribu kuficha kucha, yeye na genge la mwendazake ndiyo walikiletea mizwenge kila kilichoanzishwa na Kikwete. Kwani ni cha leo hicho?Huyo Polepole awe makini, akiendeleza "usumbufu" wake mwishowe itabaki sehemu moja pekee ya kumpeleka..
Hii ishu kuna mbunge alishaizungumzia bungeni, iko hivyo hivyo serikali hainunui dawa kwenye kiwanda chake halafu inaagiza nje, kama kuna upande mwingine tusioujua uweke waziUmesikiliza upande mmoja tu, usihukumu.
Unaijuwa sababu ya polepole kutolewa Malawi akapelekwa Cuba?
Najua kuna Msiba, ila Kilio kilivyokua kwetu Kuna sherehe zilifanyika!
Ni kweli wazuri Hawafi.
Mhe. Polepole anawaonya wale wanaokwamisha maendeleo. Ilitafutwa Mbinu za kumnyamazisha lakini ndio kwanza akiwa ndani ya Kaunda Suti Nyeusi, Safii kama Nyerere vile anawaonya walafi.
Unlearn to Learn.Sawa polepole tumekusikia, ila kumbuka ulivyokua unawatukana akina Mbowe kwenye media ukajua kwamba utakua na hiyo power milele, sasa sijui what happened nawe umegeuka mpinzani ndani ya chama chako
Lissu aliwaonya akasema mkimalizana na upinzani mtanzana wenyewe na wenyewe, tupo hapa kushuhudia
Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, ushafanya tafiti kujua kimeanza production lini iko kiwanda? Bibi huna kitu upstairs nowadays.Polepoke alikuwa wapi wakati wa mwendazake hajafokafoka kuhusu hicho kiwanda? Kwani ni cha leo hicho?
Huyo ni debe tupuFicha upumbavu wako usiifiche hekima yako, ushafanya tafiti kujua kimeanza production lini iko kiwanda? Bibi huna kitu upstairs nowadays.
Jibu hoja achana na mimi.Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, ushafanya tafiti kujua kimeanza production lini iko kiwanda? Bibi huna kitu upstairs nowadays.
We mama huna akili kabisa. Kwahiyo Kwa yote aliyozungumza hakuna kitu umeekewa mpaka kusema anafoka foka tu.Kwa akili za Watanzania, ukitaka uonekane wa Maana unachotakiwa kufanya ni kufokafoka tu.
Ni vyema kakumbuka kuwa huo mradi ni juhudi za Kikwete.