Balozi Polepole hapoi, hachoshi na anaongea kimamlaka. Azionya Wizara ya Afya na TAMISEMI

Balozi Polepole hapoi, hachoshi na anaongea kimamlaka. Azionya Wizara ya Afya na TAMISEMI

Kwa akili za Watanzania, ukitaka uonekane wa Maana unachotakiwa kufanya ni kufokafoka tu.

Ni vyema kakumbuka kuwa huo mradi ni juhudi za Kikwete.
Hatutaki kiongozi aliyepooza yaani akiongea huwezi sikiliza dakika 2 usingizi unakushika!
Tunataka viongozi wenye kariba ya Polepole, yaani hata akiongea lisaa lizima, bado unatamani aendelee kuongea!
 
Huyu Balozi yuko vizuri sana kiakili na kiutendaji.
Namuombea aje awe Rais wa TZ.
 
Back
Top Bottom