Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
Katika mchango wake wa hivi karibuni juu ya Katiba Mpya, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue amekuja na hoja kwamba Kupunguza Madaraka Ya Rais Ni Hatari Kwa Usalama Wa Nchi, na kusisitiza kwamba kuna umuhimu wa madaraka hayo kubakia kama yalivyo chini ya Katiba Mpya;
Hoja ya Balozi Sefue imepokelewa kwa hisia mbalimbali, lakini hisia zinazotawala mijadala mingi ni za kupinga hoja kuliko kuunga mkono hoja Ni muhimu pande zote mbili za hoja zikapewa nafasi ya kusikilizwa, lakini ni muhimu zaidi ikaeleweka kwamba wanaopinga hoja ya ya Balozi Sefue ni wahanga wa kuyumba kwa uongozi wa nchi kwa muda mrefu sasa kisiasa, kiuchumi na kijamii, hasa katika suala zima la maamuzi muhimu na magumu katika uongozi wa taifa kisiasa, kiuchumi na kijamii, vinginevyo hakuna dalili yoyote kwamba wapinga hoja ya balozi Sefue ni watanzania waliokosa Uzalendo kwa Taifa lao au ni watanzania wasio litakia mema Taifa lao. Kimsingi, watanzania wengi wanazidi kuamini kwamba tatizo la kuyumba kwa uongozi wa taifa pamoja na madhara makubwa kwao kisiasa, kiuchumi na kijamii litapatiwa ufumbuzi iwapo tu taasisi ya Urais itapunguziwa madaraka yake chini ya katiba ya sasa.
Ni muhimu tukatambua kwamba Katiba ya nchi iliundwa kwa makusudi ya kufanya Rais wa nchi awe the living symbol of our National Unity. Kwa mtazamo wangu, hili ndio chimbuko la hoja ya Balozi Sefue. Mjadala kuhusu jinsi gani taasisi ya Urais imefanikiwa au imefeli katika hili, ni mjadala mwingine. Vinginevyo hili ni suala ambalo pengine linachangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa hoja nyingi juu ya udhaifu wa taasisi ya Urais katika nyakazi hizi za Mageuzi ya Kisiasa kuelekea Mfumo wa Demokrasia ya Uliberali inayofuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, mageuzi ambayo nilijadili sehemu nyingine kwamba - kitendo cha Rais Kikwete kuyaruhusu yatokee kwa kasi zaidi kuliko Marais waliomtangulia, kimechangia sana kwa Kikwete kuonekana ni Rais dhaifu kwa mujibu wa hoja ya Mh. J.J Mnyika, mwaka 2012.
Vinginevyo tangia uhuru, taasisi ya Urais imekuwa ikikabiliwa na UDHAIFU MKUBWA, lakini tofauti na Kikwete, Marais waliomtangulia walificha madhaifu haya kwa njia mbalimbali, hasa kupitia udhibiti wa mageuzi ya kisiasa na kuruhusu democratization kuingia nchini kwa mtindo wa Top Down Approach (badala ya Bottom Up), kwa mfano implementation ya maoni mengi ya tume ya Nyalali incrementaly badala ya radically, ambapo tume ilipendekeza sheria kadhaa pamoja na vifungu fulani fulani vya Katiba ya 1977 vifanyiwe marekebisho ili Katiba ya nchi iendane na mhaitaji ya mfumo wa vyama vingi vya siasa. Lakini badala yake, mapendekezo mengi (pamoja na suala la Katiba Mpya) yaliwekwa pembeni na serikali ya CCM kwa zaidi ya miaka ishirini. Suala lingine linaruhusu Uhuru wa Vyombo vya Habari ambavyo katika awamu za nyuma, lilidhibitiwa kikamilifu.
Kwahiyo incremental implementation ya demokrasia ya uliberali nchini pamoja na udhibiti wa vyombo vya habari vilisaidia sana kwa marais wa awamu za nyuma kukinga madhaifu ya taasisi ya Urais yasijitokeze, madhaifu ambayo kimsingi ni inherent to our problematic state since the first day of independence in 1961. Uamuzi wa Rais Kikwete kuruhusu yote haya chini ya utawala wake ndio imemfanya awe mhanga wa maamuzi yake mwenyewe na kuonekana dhaifu per Mnyikas argument.
Ili kujikinga na madhaifu yanayoendana na taasisi ya Urais (The Executive) inayoongoza A PROBLEMATC STATE OF TANZANIA, ndio maana Mwalimu alikuwa akisisitiza na ku justify jinsi gani:
Power in the right hands is good and indeed necessary for a new State.
Madaraka husika ya Rais ambayo yamezidi kuzua controversy katika awamu ya nne ambayo pia kimsingi ndio yanabeba hoja ya Balozi Sefue includes:
He/she is the head of state with Full Executive Powers and Commander in Chief of the Armed Forces;
The Cabinet which he appoints largely from MPs is only advisory to him;
He has full powers to appoint, promote, dismiss and to exercise disciplinary control over the Civil Service including the Judiciary and so forth;
He/She also has an overall responsibility for Government Organization and Direction;
Under a new and young Nation, Mwalimu aliona umuhimu wa kuweka haya katika Katiba i.e. the countrys Constitution was deliberately designed to create a powerful Chief Executive who would give the nation vigorous national leadership. Lakini pia, Mwalimu understood of the challenges ahead and in one of his speeches he argued that:
We recognize that the system of checks and balances is an admirable way of applying the brakes to social change. Our need is not for brakes our lack of trained manpower and capital resources, and even our climate, act too effectively already. We need accelerators powerful enough to overcome the inertia bred of poverty, and the resistance which are inherent in all societies.
Source: J.K Nyerere, How Much Power For a Leader, The Observer, June 1962. Reprinted in African Report, Vol. 7, No. 7, July 1962, p.5.
________
Mwalimu also understood of the threats that lied ahead, and in one of his speeches he contended that:
Our Union has neither the long tradition of nation-hood, nor the strong physical means of national security, which older countries take for granted. While the vast mass of people give full and active support for their country and its government, handful individuals can still put our nation into jeopardy, and reduce to ashes the efforts of millions.
Source: Presidents Speech at the Opening of University College, Dar-es-salaam, 21 August 1964, Dar-es-salaam, Ministry of Information and Tourism, p.17.
____
Nyerere assumed full executive powers kutokana na ukweli kwamba baada ya uhuru, kazi ilikuwa ni Economic Development that was supposed to deliver also on the social front, bila ya kuathiri UMOJA WA KITAIFA. According to Mwalimu:
New Nations like Tanganyika are emerging into independence as a result of a struggle for freedom from colonialism Once the first free government is formed, its supreme task lies ahead, the building up of the countrys economy, so as to raise the living standards of the people, to eradicate diseases, to banish ignorance and superstition. This is no less than the struggle against colonialism, calls for the maximum united effort by the whole country if it is to succeed. There can be no room for difference or division This is our time of emergency and until our war against poverty, ignorance and disease has been won, we should not let our unity be destroyed by a desire to follow somebody elses book of rules.
Source: One Party Rule, Spearhead, Dar-es-salaam, November 1961. Reprinted in Paul E. Sigmund Jr., ed., The Ideologies of Developing Countries, New York: Frederick A. Praeger, 1963, pp. 197 202.
_______________
Ili kuweza kufanikiwa katika kazi hii, to Mwalimu, it was necessary for the country to become a ONE PARTY STATE. In one of his speeches, Mwalimu argued that:
The Tanzanian System of one party democracy was designed to enable people to elect a competent government which reflects their wishes and desires and to do this without damaging the society and the long term objectives they have set for themselves
Source: The Nationalist, July 1970.
___________
However, Mwalimu also warned that:
In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU.
Source: Socialism & Participation: Tanzanias 1970s National Elections: The Election Study Committee, University of Dar-es-salaam, 1974.
_________________
Na mwisho ni juu ya URais na Usultani/Ufalme na Udikteta. Miaka michaceh baada ya uhuru, watanzania wengi walikuwa wanajenga hoja kwamba kuna umuhimu wa Mwalimu Nyerere kuwa Rais wa Maisha na kwamba Katiba itamke kwamba hapatakuwa na uchaguzi katika ngazi ya Urais nchini Tanzania. Mwalimu alijibu hoja hizi kama ifuatavyo akilenga Katiba ya nchi:
It should be able to fit any person tall or short, fat or slim. It is not like a dress which is cut to fit a particular person. The people often inspired to the idea of having a life president because they trust their leaders but the present constitutional provision that every five years we should have a presidential election is quite convenient. May be after five years of office the electorate will want another leader or may be the leader himself will want to be relieved. It should be clearly understood that people change the way is if we want him we will elect him again after five years; if not, then we say sorry to him. We are not electing to the President a Sultan but a worker
Source: The Standard, 12 September 1970.
________________
HITIMISHO
Tukirudi kwenye hoja ya Balozi Sefue juu ya umuhimu wa kubakisha madaraka ya Rais kama yalivyo katika Katiba Mpya, kuna masuala kadhaa muhimu ya kujadili, ikiwa ni pamoja na haya yafuatayo:
Moja: How Far Do We Still Agree With Nyerere that:
POWER IN THE RIGHT HANDS IS GOOD AND INDEED NECESSARY FOR A NEW STATE?
Hili ni swali muhimu hasa kwa watanzania ambao bila ya kujijua wamekuwa ni kigeu geu kwani kwa upande mmoja wanataka rais ajaye asiwe na madaraka kama ilivyo chini ya katiba ya sasa, lakini kwa upande mwingine, hao hao wana hamasa kubwa ya kutaka rais ajaye awe na uwezo wa kufanya maamuzi magumu, huku wakipendekeza umuhimu wa kuwa na Kiongozi kama Rais Kagame wa Rwanda na kutaja taja baadhi ya Wanasiasa ambao wanadhania watakuwa na uwezo wa kufanya maamuzi magumu. Ni muhimu kundi hili likatambua kwamba UKAGAME utakuwa ni mgumu sana chini ya Katiba Mpya iwapo madaraka ya sasa ya Rais yatapunguzwa kama wanavyopendekeza.
Mbili Kinachokera wananchi wengi kuhusu ukubwa wa madaraka ya Rais Kikatiba ni nini hasa: Je, ni kwamba bado tunahitaji Rais mwenye full executive powers lakini tatizo ni kwamba such power is in the wrong hands? Au ni kwamba haijalishi nani au chama gani kinatoa Rais wa Tano, Suala la Rais kuwa na full executive powers kwa Tanzania limeshapitwa na wakati?
Tatu Kwa wale wote wenye mapenzi na vyama vya upinzani hasa Chadema, kwa maoni yenu, ili Rais atakayetokana na Chadema (kwa mfano) awe na uwezo wa kuirudisha nchi katika mstari, je atafanikiwa zaidi iwapo ataendelea kuwa na full executive powers kama ilivyo ndani ya Katiba ya sasa ambapo atakuwa in a better position kutekeleza majukumu yake ya Urais kwa ufanisi zaidi au uwezo wake kurudisha nchi katika mstari na pia kuongoza kwa ufanisi zaidi utajitokeza iwapo nguvu na mamlaka ya Rais yanapunguzwa chini ya Katiba mpya?
Nne kutokana na dhana iliyojijenga miongoni mwa vyama vyote vya siasa kwamba umuhimu mkubwa wa Chaguzi Kuu ni kushinda ili kukamata dola na kuunda serikali - na iwapo tunakubaliana kwamba Tanzania As State is Problematic kwani tangia uhuru tumejikita zaidi katika kuunda serikali badala ya STATE BUILDING & CONSOLIDATION, Je, juhudi zetu towards State Building zitafanikiwa zaidi chini mwenye full executive powers au asiyekuwa na such powers?
Hoja ya Balozi Sefue imepokelewa kwa hisia mbalimbali, lakini hisia zinazotawala mijadala mingi ni za kupinga hoja kuliko kuunga mkono hoja Ni muhimu pande zote mbili za hoja zikapewa nafasi ya kusikilizwa, lakini ni muhimu zaidi ikaeleweka kwamba wanaopinga hoja ya ya Balozi Sefue ni wahanga wa kuyumba kwa uongozi wa nchi kwa muda mrefu sasa kisiasa, kiuchumi na kijamii, hasa katika suala zima la maamuzi muhimu na magumu katika uongozi wa taifa kisiasa, kiuchumi na kijamii, vinginevyo hakuna dalili yoyote kwamba wapinga hoja ya balozi Sefue ni watanzania waliokosa Uzalendo kwa Taifa lao au ni watanzania wasio litakia mema Taifa lao. Kimsingi, watanzania wengi wanazidi kuamini kwamba tatizo la kuyumba kwa uongozi wa taifa pamoja na madhara makubwa kwao kisiasa, kiuchumi na kijamii litapatiwa ufumbuzi iwapo tu taasisi ya Urais itapunguziwa madaraka yake chini ya katiba ya sasa.
Ni muhimu tukatambua kwamba Katiba ya nchi iliundwa kwa makusudi ya kufanya Rais wa nchi awe the living symbol of our National Unity. Kwa mtazamo wangu, hili ndio chimbuko la hoja ya Balozi Sefue. Mjadala kuhusu jinsi gani taasisi ya Urais imefanikiwa au imefeli katika hili, ni mjadala mwingine. Vinginevyo hili ni suala ambalo pengine linachangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa hoja nyingi juu ya udhaifu wa taasisi ya Urais katika nyakazi hizi za Mageuzi ya Kisiasa kuelekea Mfumo wa Demokrasia ya Uliberali inayofuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, mageuzi ambayo nilijadili sehemu nyingine kwamba - kitendo cha Rais Kikwete kuyaruhusu yatokee kwa kasi zaidi kuliko Marais waliomtangulia, kimechangia sana kwa Kikwete kuonekana ni Rais dhaifu kwa mujibu wa hoja ya Mh. J.J Mnyika, mwaka 2012.
Vinginevyo tangia uhuru, taasisi ya Urais imekuwa ikikabiliwa na UDHAIFU MKUBWA, lakini tofauti na Kikwete, Marais waliomtangulia walificha madhaifu haya kwa njia mbalimbali, hasa kupitia udhibiti wa mageuzi ya kisiasa na kuruhusu democratization kuingia nchini kwa mtindo wa Top Down Approach (badala ya Bottom Up), kwa mfano implementation ya maoni mengi ya tume ya Nyalali incrementaly badala ya radically, ambapo tume ilipendekeza sheria kadhaa pamoja na vifungu fulani fulani vya Katiba ya 1977 vifanyiwe marekebisho ili Katiba ya nchi iendane na mhaitaji ya mfumo wa vyama vingi vya siasa. Lakini badala yake, mapendekezo mengi (pamoja na suala la Katiba Mpya) yaliwekwa pembeni na serikali ya CCM kwa zaidi ya miaka ishirini. Suala lingine linaruhusu Uhuru wa Vyombo vya Habari ambavyo katika awamu za nyuma, lilidhibitiwa kikamilifu.
Kwahiyo incremental implementation ya demokrasia ya uliberali nchini pamoja na udhibiti wa vyombo vya habari vilisaidia sana kwa marais wa awamu za nyuma kukinga madhaifu ya taasisi ya Urais yasijitokeze, madhaifu ambayo kimsingi ni inherent to our problematic state since the first day of independence in 1961. Uamuzi wa Rais Kikwete kuruhusu yote haya chini ya utawala wake ndio imemfanya awe mhanga wa maamuzi yake mwenyewe na kuonekana dhaifu per Mnyikas argument.
Ili kujikinga na madhaifu yanayoendana na taasisi ya Urais (The Executive) inayoongoza A PROBLEMATC STATE OF TANZANIA, ndio maana Mwalimu alikuwa akisisitiza na ku justify jinsi gani:
Power in the right hands is good and indeed necessary for a new State.
Madaraka husika ya Rais ambayo yamezidi kuzua controversy katika awamu ya nne ambayo pia kimsingi ndio yanabeba hoja ya Balozi Sefue includes:
He/she is the head of state with Full Executive Powers and Commander in Chief of the Armed Forces;
The Cabinet which he appoints largely from MPs is only advisory to him;
He has full powers to appoint, promote, dismiss and to exercise disciplinary control over the Civil Service including the Judiciary and so forth;
He/She also has an overall responsibility for Government Organization and Direction;
Under a new and young Nation, Mwalimu aliona umuhimu wa kuweka haya katika Katiba i.e. the countrys Constitution was deliberately designed to create a powerful Chief Executive who would give the nation vigorous national leadership. Lakini pia, Mwalimu understood of the challenges ahead and in one of his speeches he argued that:
We recognize that the system of checks and balances is an admirable way of applying the brakes to social change. Our need is not for brakes our lack of trained manpower and capital resources, and even our climate, act too effectively already. We need accelerators powerful enough to overcome the inertia bred of poverty, and the resistance which are inherent in all societies.
Source: J.K Nyerere, How Much Power For a Leader, The Observer, June 1962. Reprinted in African Report, Vol. 7, No. 7, July 1962, p.5.
________
Mwalimu also understood of the threats that lied ahead, and in one of his speeches he contended that:
Our Union has neither the long tradition of nation-hood, nor the strong physical means of national security, which older countries take for granted. While the vast mass of people give full and active support for their country and its government, handful individuals can still put our nation into jeopardy, and reduce to ashes the efforts of millions.
Source: Presidents Speech at the Opening of University College, Dar-es-salaam, 21 August 1964, Dar-es-salaam, Ministry of Information and Tourism, p.17.
____
Nyerere assumed full executive powers kutokana na ukweli kwamba baada ya uhuru, kazi ilikuwa ni Economic Development that was supposed to deliver also on the social front, bila ya kuathiri UMOJA WA KITAIFA. According to Mwalimu:
New Nations like Tanganyika are emerging into independence as a result of a struggle for freedom from colonialism Once the first free government is formed, its supreme task lies ahead, the building up of the countrys economy, so as to raise the living standards of the people, to eradicate diseases, to banish ignorance and superstition. This is no less than the struggle against colonialism, calls for the maximum united effort by the whole country if it is to succeed. There can be no room for difference or division This is our time of emergency and until our war against poverty, ignorance and disease has been won, we should not let our unity be destroyed by a desire to follow somebody elses book of rules.
Source: One Party Rule, Spearhead, Dar-es-salaam, November 1961. Reprinted in Paul E. Sigmund Jr., ed., The Ideologies of Developing Countries, New York: Frederick A. Praeger, 1963, pp. 197 202.
_______________
Ili kuweza kufanikiwa katika kazi hii, to Mwalimu, it was necessary for the country to become a ONE PARTY STATE. In one of his speeches, Mwalimu argued that:
The Tanzanian System of one party democracy was designed to enable people to elect a competent government which reflects their wishes and desires and to do this without damaging the society and the long term objectives they have set for themselves
Source: The Nationalist, July 1970.
___________
However, Mwalimu also warned that:
In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU.
Source: Socialism & Participation: Tanzanias 1970s National Elections: The Election Study Committee, University of Dar-es-salaam, 1974.
_________________
Na mwisho ni juu ya URais na Usultani/Ufalme na Udikteta. Miaka michaceh baada ya uhuru, watanzania wengi walikuwa wanajenga hoja kwamba kuna umuhimu wa Mwalimu Nyerere kuwa Rais wa Maisha na kwamba Katiba itamke kwamba hapatakuwa na uchaguzi katika ngazi ya Urais nchini Tanzania. Mwalimu alijibu hoja hizi kama ifuatavyo akilenga Katiba ya nchi:
It should be able to fit any person tall or short, fat or slim. It is not like a dress which is cut to fit a particular person. The people often inspired to the idea of having a life president because they trust their leaders but the present constitutional provision that every five years we should have a presidential election is quite convenient. May be after five years of office the electorate will want another leader or may be the leader himself will want to be relieved. It should be clearly understood that people change the way is if we want him we will elect him again after five years; if not, then we say sorry to him. We are not electing to the President a Sultan but a worker
Source: The Standard, 12 September 1970.
________________
HITIMISHO
Tukirudi kwenye hoja ya Balozi Sefue juu ya umuhimu wa kubakisha madaraka ya Rais kama yalivyo katika Katiba Mpya, kuna masuala kadhaa muhimu ya kujadili, ikiwa ni pamoja na haya yafuatayo:
Moja: How Far Do We Still Agree With Nyerere that:
POWER IN THE RIGHT HANDS IS GOOD AND INDEED NECESSARY FOR A NEW STATE?
Hili ni swali muhimu hasa kwa watanzania ambao bila ya kujijua wamekuwa ni kigeu geu kwani kwa upande mmoja wanataka rais ajaye asiwe na madaraka kama ilivyo chini ya katiba ya sasa, lakini kwa upande mwingine, hao hao wana hamasa kubwa ya kutaka rais ajaye awe na uwezo wa kufanya maamuzi magumu, huku wakipendekeza umuhimu wa kuwa na Kiongozi kama Rais Kagame wa Rwanda na kutaja taja baadhi ya Wanasiasa ambao wanadhania watakuwa na uwezo wa kufanya maamuzi magumu. Ni muhimu kundi hili likatambua kwamba UKAGAME utakuwa ni mgumu sana chini ya Katiba Mpya iwapo madaraka ya sasa ya Rais yatapunguzwa kama wanavyopendekeza.
Mbili Kinachokera wananchi wengi kuhusu ukubwa wa madaraka ya Rais Kikatiba ni nini hasa: Je, ni kwamba bado tunahitaji Rais mwenye full executive powers lakini tatizo ni kwamba such power is in the wrong hands? Au ni kwamba haijalishi nani au chama gani kinatoa Rais wa Tano, Suala la Rais kuwa na full executive powers kwa Tanzania limeshapitwa na wakati?
Tatu Kwa wale wote wenye mapenzi na vyama vya upinzani hasa Chadema, kwa maoni yenu, ili Rais atakayetokana na Chadema (kwa mfano) awe na uwezo wa kuirudisha nchi katika mstari, je atafanikiwa zaidi iwapo ataendelea kuwa na full executive powers kama ilivyo ndani ya Katiba ya sasa ambapo atakuwa in a better position kutekeleza majukumu yake ya Urais kwa ufanisi zaidi au uwezo wake kurudisha nchi katika mstari na pia kuongoza kwa ufanisi zaidi utajitokeza iwapo nguvu na mamlaka ya Rais yanapunguzwa chini ya Katiba mpya?
Nne kutokana na dhana iliyojijenga miongoni mwa vyama vyote vya siasa kwamba umuhimu mkubwa wa Chaguzi Kuu ni kushinda ili kukamata dola na kuunda serikali - na iwapo tunakubaliana kwamba Tanzania As State is Problematic kwani tangia uhuru tumejikita zaidi katika kuunda serikali badala ya STATE BUILDING & CONSOLIDATION, Je, juhudi zetu towards State Building zitafanikiwa zaidi chini mwenye full executive powers au asiyekuwa na such powers?