Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
- Thread starter
- #41
Bongolander,
Majibu kwa bandiko lako namba 37;
Kuhusu uhatari wa kumpunguzia madaraka Rais, nilijadili hili ndani ya hoja iliyohusu jinsi gani Katiba ya JMT (1977) ilivyoiweka taasisi ya Rais kama ni living symbol of our Unity lakini pia custodian of our peace, stability & direction ya nchi; Sina maana kwamba haya yabakie kama yalivyo, nia yangu ni kuelezea tu tumetokea wapi na kwanini maamuzi haya yalichukuliwa ili tukija amua kufanya mabadiliko huko mbeleni ndani ya Katiba mpya, basi tusikurupuke na tufanye maamuzi kama watu ambao tupo well informed;
Kuhusu Kagame na Mengistu, ni kweli, na hoja hii, hasa juu ya Kagame ipo midomoni mwa watanzania wengi sana ambao wanatamani Rais ajae awe wa Caliber ya Kagamae huku wakitaja majina fulani fulani ya hapa nyumbani kwamba ndio yanafaa katika kufanikisha hilo, lakini pia ni hao hao ambao wamekuwa mstari wa mbele kujadili kwamba kuna umuhimu wa kupunguza madaraka ya Rais, na nimekuwa na argue kwamba this is self - contradictory kwani marais Kagame na Mengistu, literally ni their full executive powers ndio zimefanya wafanikishe yale, kwa maana nyingine, "power was/is in the right/good hands..."; Ni muhimu tukaelewa hili kwani kupunguza madaraka ya rais katika katiba ijayo kuutfanya tusiwe na nafasi ya kutumia ukagame au umengistu in the course of economic and social development;
Mwisho ni hoja yako kuhusu umuhimu wa separation of powers, rais kutokuwa sehemu ya bunge n.k; Je, nitakuwa sahihi iwapo uelewa wangu ni kwamba your concerns zitakuwa taken care of kwa ku strengthen notion ya separation of powers and such separation iwe na meno kikatiba yenye kung'ata katika shughuli za kila siku za kisiasa, kiuchumi na kijamii katika taifa na pia kumtoa Rais kwenye bunge? Nauliza haya kwani bado sijaona exactly ni kitu gani unataka kiondolewe kwa Rais in terms of powers from your view; Pia nakuuliza tena - katika muktadha huo, tufuate which form of government ndani ya Katiba mpya - Parliamentary form of government or Presidential form of government?
Majibu kwa bandiko lako namba 37;
Kuhusu uhatari wa kumpunguzia madaraka Rais, nilijadili hili ndani ya hoja iliyohusu jinsi gani Katiba ya JMT (1977) ilivyoiweka taasisi ya Rais kama ni living symbol of our Unity lakini pia custodian of our peace, stability & direction ya nchi; Sina maana kwamba haya yabakie kama yalivyo, nia yangu ni kuelezea tu tumetokea wapi na kwanini maamuzi haya yalichukuliwa ili tukija amua kufanya mabadiliko huko mbeleni ndani ya Katiba mpya, basi tusikurupuke na tufanye maamuzi kama watu ambao tupo well informed;
Kuhusu Kagame na Mengistu, ni kweli, na hoja hii, hasa juu ya Kagame ipo midomoni mwa watanzania wengi sana ambao wanatamani Rais ajae awe wa Caliber ya Kagamae huku wakitaja majina fulani fulani ya hapa nyumbani kwamba ndio yanafaa katika kufanikisha hilo, lakini pia ni hao hao ambao wamekuwa mstari wa mbele kujadili kwamba kuna umuhimu wa kupunguza madaraka ya Rais, na nimekuwa na argue kwamba this is self - contradictory kwani marais Kagame na Mengistu, literally ni their full executive powers ndio zimefanya wafanikishe yale, kwa maana nyingine, "power was/is in the right/good hands..."; Ni muhimu tukaelewa hili kwani kupunguza madaraka ya rais katika katiba ijayo kuutfanya tusiwe na nafasi ya kutumia ukagame au umengistu in the course of economic and social development;
Mwisho ni hoja yako kuhusu umuhimu wa separation of powers, rais kutokuwa sehemu ya bunge n.k; Je, nitakuwa sahihi iwapo uelewa wangu ni kwamba your concerns zitakuwa taken care of kwa ku strengthen notion ya separation of powers and such separation iwe na meno kikatiba yenye kung'ata katika shughuli za kila siku za kisiasa, kiuchumi na kijamii katika taifa na pia kumtoa Rais kwenye bunge? Nauliza haya kwani bado sijaona exactly ni kitu gani unataka kiondolewe kwa Rais in terms of powers from your view; Pia nakuuliza tena - katika muktadha huo, tufuate which form of government ndani ya Katiba mpya - Parliamentary form of government or Presidential form of government?