Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Yes sir!Umenishtua. Miaka 20!! Miaka yaenda mbio. Sikuwahi kufikiri kuhesabu miaka ya Jf
2026 JF itatimiza miongo miwili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes sir!Umenishtua. Miaka 20!! Miaka yaenda mbio. Sikuwahi kufikiri kuhesabu miaka ya Jf
Habari za Leo Kaka Melo!Maamuzi yalikuwa revisited, wanabaki Tanzania. Unaweza kusoma hapa - Denmark reverses decision to close embassy in Tanzania
Shukran mkuu.Habari za Leo Kaka Melo!
Hongereni sana, nimeona hapo mmoja wa Staff wako kama ni White man! Congratulations to you and for those who took part in your achievements...
Dah,,, umepigaje hapo?Usikute max ni mwalimu, hazeeki kabisa.....
Asante sana mkuu wanguHongera team Jf
Sina hakika kama kwenye hii picha kuna "Moderators"Wanavyotabasam hao moderators utadhani huwa hawapigi watu Ban😁
Mkuu hongereni sana. Ushauri kwenu mjidhatiti na/dhidi ya mashambulizi ya aina yoyote tunapo wleea mwaka wa uchaguzi.Kawa wa kike tena?
Dah!
Naomba nifute nilicho andikaKawa wa kike tena?
Dah!
Tumejipanga mkuu wangu.Mkuu hongereni sana. Ushauri kwenu mjidhatiti na/dhidi ya mashambulizi ya aina yoyote tunapo wleea mwaka wa uchaguzi.
Mkuu hizi program na zipi?Kuna programu 8, ya platform hii ni mojawapo. Wengine wapo kwenye programu nyingine mbalimbali
Zaidi ya chuo kikuu kikuu chochote cha best university in the world sababu ushauri mzito Jamii Forums hutoka grassroot kwenye majority sio kwenye faculty za best universities in the world ambao ni the few kwenye population nchi yeyote duniani ndio huwemo hivyo vyuo.Jf ni chuo kikuu.