Balozi wa Denmark nchini Tanzania anayemaliza muda wake, Mette Nørgaard Dissing-Spandet aitembelea JamiiForums

Balozi wa Denmark nchini Tanzania anayemaliza muda wake, Mette Nørgaard Dissing-Spandet aitembelea JamiiForums

Zaidi ya chuo kikuu best universities in the world sababu ushauri mzito hutoka grassroot kwenye majority sio kwenye faculty za best universities ambao ninthe few kwenye population nchi yeyote duniani

Jamii Forums iko juu kidudia kwa kubeba grassroot kutoa maoni ya nchi yeyote duniani yenya challenge au kimataifa freely na seriously
Huwa najaribu kuangalia forums nyingine huko Duniani ila nakiri JamiiForums ni home of great thinker na ni best of the best mimi nawaambia bongo tuna akili za mbele sana sema tunashindwa zitumia tu.

Yaani endapo tukiwa serious tutafika mbali hili jukwaa ni zaidi ya World Enclopedia yaani kila kitu kishajadiliwa na kina maoni kwa angles tofautitofauti na kuna mengine chanzo ni humu tu hutakuta pahali pengine Duniani,
Artificial intelligence ikifika kwenye peak watu wakitaka info kuhusu mambo mbali mbali lazima itakuja kua Moja ya source mhimu!
 
Hard to imagine JF imekaribia kufikisha miaka 20!

Kweli muda unakimbia maana kwa baadhi yetu 2006 ni kama majuzi tu.

Sidhani kama kuna online forums zingine za Kitanzania ambazo zilikuwepo enzi hizo na mpaka hivi sasa bado zipo na zinashamiri.

JF has stood the test of time.
Kiingereza chako na cha Kiranga ndicho kilinivutia kujiunga na JF 2014.

Na hoja zenu pia zilikuwa murua sana.
 
Tunafurahi kuona wageni wameona kitu kwenye taasisi hii ya Jamii Forums, ndio maana safari za kuitembelea kwa ajili ya kujifunza , kupongeza, kitia moyo na kuwezesha zimekuwa nyingi.

Ni bahati mbaya sheria na kanuni za nchi yetu zimekuwa sio rafiki sana lakini ungekuwa ni mtandao mkubwa sana hapa Afrika na nje ya afrika pia.

Siasa na wanasiasa wamekuwa sos ya kurudisha nyuma jitihada za wabunifu wengi yote kwa maslahi ya kisiasa kwa kivuli cha maadili ya jamii na usalama wa taifa.

Miaka karibu 20 ya Jf kama sio misukosuko ya kisheria mahali ingekuwa imefika Jf pangekuwa si haba.
Hata hivyo pongezi kwako Maxence Melo najua jitihada hazizidi kudra, umejitahidi mno, lakini kwa kudra za Mungu kuna sehemu umefika ukikaa ukiangalia nyuma na ulipo sana kisha ukatazama mbele hutaacha kusema asante Mungu, nami binafsi nakutakia kufanikiwa juu ya matarajio yako.

Ombi langu unapoelekea mwaka wa 20 fanya kitu, pia usiwasahau wale wanachama walioanza nawe Ambao wengi wao bado wapo wala uwaambie asante kwa majina yao hata kama wengine hawapo , au wametangulia lakini asante yako itakuwa zawadi kubwa sana kwao .
 
Hahaha, mkuu!

Sio wote wanahusika na platform management.

Kuna programu 8, ya platform hii ni mojawapo. Wengine wapo kwenye programu nyingine mbalimbali
Kiukweli hao mabinti wawiwili mkono wa kulia hasa huyo wa pili kutoka kulia kwakweli ndio hunifanya nifungue haraka thread za wageni wanao tembelea jf ili nijue kama yupo na anaendeleaje! Huyo ndio atanifanya siku moja niitembelee jf!😂😂😂😂😂
 
Ni faraja kuona mabalozi wanajali kazi mnayoifanya.

Hivi Ubalozi wa Denmark Tanzania bado upo katika mchakato wa kufungwa? Kuna wakati walisema wanataka kufunga ubalozi.
Hatutashangaa na siajabu hata hatutaelezwa kinachoendelea.
This is Bongo. A typical banana republic!
 
View attachment 3037696View attachment 3037697View attachment 3037695View attachment 3037694View attachment 3037693View attachment 3037692View attachment 3037691View attachment 3037690View attachment 3037689
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette Nørgaard Dissing-Spandet ameitembelea JamiiForums (JF) na kufanya mazungumzo na Uongozi na Watendaji wake ikiwa ni pamoja na kujionea maendeleo ya Taasisi akiwa kama Mshirika muhimu wa JF.

Pia, Balozi amefika JF kwa lengo la kuaga rasmi ikiwa ni baada ya kumaliza utumishi wake nchini. Balozi Mette na Serikali ya Denmark wamekuwa wadau muhimu kwa JF katika shughuli mbalimbali.

JF inamtakia kila la heri Balozi Mette katika majukumu yake mengine atakayokwenda kuendelea nayo baada ya kuondoka Tanzania.
Deservedly. Why not?! It's mind opening, free speech and yes an education platform ever founded in TZ. Kudos JamiiForums
 
Mi naomba nisiwe MUONGO.Nimeona wagfanya kazi wengi tu, Lakini naomba kujuzwa, Jamiiforums wanafanya kazi gani hasa?
 
Back
Top Bottom