Balozi wa Israel ashusha nondo Mkutano wa UN; akata ngebe zote

Hakuna cha utakatifu ni wapuuzi tuu hao,kwanza si ndio walimuua Yesu au?
 
NA ndio tafsiri sahihi kuwa ni freedom fighters kwa mujibu wa asili ya mgogoro
 
Mkuu kuna manabii waliuawa na hawahawa mayahudi, wakiwemo Nabii yahya, yaaqub n.k.
Hata Yesu kauliwa na Mayahudi..

Mayahudi hawamkubali Yesu,hawana habari na Ukristo

Afadhali hata Uislam unamkubali Yesu kuwa ni Mtume wa Mungu

Matatizo yako kwa baadhi ya Wakristo wameweka hisia zao mbele bila ya kutumia akili na uhalisia wa hili jambo..
 
Usilazimishe kila mtu aone kitu unavyokiona wewe.Kutaja taja majina ya manabii wanaoheshimika na waumini fulani ili ku justfify point yako,bado ni low level reasoning.
make your point bila kutaja taja imani za wenzio...
Mkuu huu ni mjadala,mjadala hugusa mengi,Kumbuka hata YESU(yule masihi) alikuwa anawashambulia sana hawa wayahudi.Hawa jamaa wanapenda sana vita hawa
 
Heshima kwako mkuu, humu kuna wagonjwa wanachanganya sana madawa, yaani wanaongea upupu hata hawayafahamu mambo, wanaongea kwa mihemuko sana na kuacha uhalisia
 
Israeli hawawezi kurudia makosa ya kuuliwa kikondoo kondoo!
Halitabakia jiwe juu ya jiwe

Watabana Sana Ila mwisho wataachia

Israel imezungukwa na nchi za kiarabu na hili liko wazi

Pale alipo Hana mtetezi kijiografia na kiasilia

Vile vita vya siku 6 walivyoshinda vinawapa kiburi na waarabu wanamlia timing, watachoka kuvumilia na hapo ndio utakua mwisho wa hili taifa bandia
 
Aliyewatoa Wayahudi huko Middle East ni nani? Aliyekuja kuunda Taifa la Wayahudi kwa kupora ardhi za Wenzao ni nani?

Kwa nini Wapalestina wasijitetee ikiwemo kuwafuta hao Wavamizi?
Samahani, naomba kujua historia ya Wapalestina na namna walivyoporwa ardhi. Nimeona wengi wanaandika hivyo ila sijaona mahali kwenye historia ya dunia kukiwa na watu au taifa la Wapalestina

Ukinisaidia kujua watawala wao, na lugha yao na mipaka ya nchi yao itakuwa vizuri. Kupora ardhi ni jambo la kihistoria kwa hiyo naamini kuna ushahidi wa kutosha. Angalau historia kati ya 100AD mpaka 1970 BC itafaa!
 
Tuna upendo wa dhati kwa binadamu wenzetu hata kama wanatuita nyani sisi hatujali
Hatuhusiki kwa lolote,tunajupendekeza tu.We have our own problems ambzo ni serious kuliko hata ilo la middle east...
 
Hatuhusiki kwa lolote,tunajupendekeza tu.We have our own problems ambzo ni serious kuliko hata ilo la middle east...
mbona umeweka avatar ya kiyahudi katika account yako kama yao hayakuhusu
 
Hizi hadithi za Israel kujitetea Ili kuhalalisha mauaji ya Wapalestina hazina msingi.

Kwa nini wanaporo ardhi za Wapalestina na hawataki kuundwa mataifa 2?
Mataifa mawili yapi je kulishakuwaga na taifa lililoitwa palestina kwanini wapalestina walipoona Israel wameunda taifa lao nao wanalazimisha kuunda kwenye ardhi ya waisrael
 
Hawa wazungu wanaojiita waisraeli hawajitambui
 
Mataifa mawili yapi je kulishakuwaga na taifa lililoitwa palestina kwanini wapalestina walipoona Israel wameunda taifa lao nao wanalazimisha kuunda kwenye ardhi ya waisrael
nenda kasome tena kijana usiongee usiyoyajua hebu tutumie ramani ya dunia kabla ya vita ya pili ya dunia lile eneo lilikuwa linatambulika kuwa ni nchi inaitwaaje? halafu hebu tupe ramani ya israel kabla ya second world war, kisha ukimaliza hapo tupe mipaka ya nchi yako ya israel kbla ya second world war au hata kabla ya mwaka 1967
 
Sometimes we learn from history that we don't learn from history.
 
Dah, ambassador ashaongea yote, na ukweli usemwe tu, hakuna mtu atakayevamia familia yako na usifanye kitu kuwalinda, NO WAY! Kama vipi Hamas walilianzisha wao, so wachapwe tu na ikumbukwe collateral damages zitatokea kwenye vita, haiepukiki. Palestines wana side na Hamas, iko wazi hiyo, ata kwenye media wanashangilia sana eti Hamas hawajauwawa bado, wako kwenye tunnel zao, huo ni utopolo kwa wananchi, ndio maana hawafai kulalamika wakinyooshwa kwa kuhifadhi TERRORISTS. Mtoto wa nyoka ni nyoka, na kama Hamas wameamua Myahudi na jamii iliyo Israel ni ya kufutwa, basi Israel wajitetee kwa kila njia iwezavyo, na waongeze vifaa hatari maradufu kwani kuna majirani wengi, karibu yao na walio mbali(UN) hawana mpango nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…