Balozi wa Israel ashusha nondo Mkutano wa UN; akata ngebe zote

Balozi wa Israel ashusha nondo Mkutano wa UN; akata ngebe zote

Kabla ya kufikiria hvyo ww uliwahi kufanya unyama wa wazi kwa hao watu tena wa makusudi.
Je wao wakiapa kulipiza kisasi kwako kuna makosa?
Hitler alipowaua wayahudi alikuwa analipiza unyama gani waliofanya
 
Hitler alipowaua wayahudi alikuwa analipiza unyama gani waliofanya
Mauaji ya Hitler kwa wayahudi isiwe justification ya kuhalalisha mauaji ya wayahudi kwa wapalestina.
Wayahudi wamefanya unyama sio tu kwa wapalestina bali Middle east nzima kimakusudi.
Je unatarajia watu wa mashariki ya kati watakosa kuweka kisasi?
Au unataka mauaji yake yahalalishwe kupitia kujificha nyuma ya mauaji ya Hitler?
 
Mauaji ya Hitler kwa wayahudi isiwe justification ya kuhalalisha mauaji ya wayahudi kwa wapalestina.
Wayahudi wamefanya unyama sio tu kwa wapalestina bali Middle east nzima kimakusudi.
Je unatarajia watu wa mashariki ya kati watakosa kuweka kisasi?
Au unataka mauaji yake yahalalishwe kupitia kujificha nyuma ya mauaji ya Hitler?
Si halalishi wala sina ushbiki wake. Wanawathamini wapalestina na wayahudi kama wanadamu wenye Haki sawa mbele za Mungu na ulimwengu.
Kibinadamu kile kilifanywa Mauaji ya halaiki yenye lengo la kuwafuta ktk dunia, ujumlishe na Maneno ya Hamasi pia ya kuwafuta , inatosha wao kujihami zaidi.
Ni bora kujihami kwa gharama kuliko kuuawa kijinga.

Yote kwa yote wote ni waovu mbele za Mungu. Sema wengine wamezidiwa nguvu na maarifa na kuuawa zaidi kwa sasa
 
Si halalishi wala sina ushbiki wake. Wanawathamini wapalestina na wayahudi kama wanadamu wenye Haki sawa mbele za Mungu na ulimwengu.
Kibinadamu kile kilifanywa Mauaji ya halaiki yenye lengo la kuwafuta ktk dunia, ujumlishe na Maneno ya Hamasi pia ya kuwafuta , inatosha wao kujihami zaidi.
Ni bora kujihami kwa gharama kuliko kuuawa kijinga.

Yote kwa yote wote ni waovu mbele za Mungu. Sema wengine wamezidiwa nguvu na maarifa na kuuawa zaidi kwa sasa
Ndugu sipingi unachoongea ila kma kweli unafuatilia siasa za mashariki ya kati utagundua unakosea sana kusema Israel ana haki ya kujilinda na utakosea sana kusema wote ni wadhambi mbele za Mungu.
Israel ilipoitwaa ardhi ya palestina haikuridhika ilijaribu kuchukua na maeneo mengine ikwemo Lebanon,Jordan na Syria kinguvu.
Haijatosha kuna maeneo Palestine wameamua kuufyata km Westbank lakini Israel bado akaeneza ubabe kwa kuwakataza Gaza kutumia ukanda wa bahari kwa namna yeyote ile.
Haijatosha kila siku wanawalazimisha Wapalestina waondoke ktk makazi yao walioishi miaka na miaka tena kimabavu na wanawatimua kwa marungu bila kujali wanampiga mzee au mama.
Kaka unatarajia watu watakaa kimya wakuangalie?
Mm najijua ni muislam ila hili suala silitizami kidini bali nalitizama kidiplomasia km wengine je hii ni haki!!?
Hamas anastahili kusema asemayo maana hawa watu hawafai kuonelewa huruma.
Ungeona zile picha za IDF wakifukia vichwa watoto wadogo wa kipalestina miaka ya 2006 kaka usingesema usemalo sasa.
 
Ndugu sipingi unachoongea ila kma kweli unafuatilia siasa za mashariki ya kati utagundua unakosea sana kusema Israel ana haki ya kujilinda na utakosea sana kusema wote ni wadhambi mbele za Mungu.
Israel ilipoitwaa ardhi ya palestina haikuridhika ilijaribu kuchukua na maeneo mengine ikwemo Lebanon,Jordan na Syria kinguvu.
Haijatosha kuna maeneo Palestine wameamua kuufyata km Westbank lakini Israel bado akaeneza ubabe kwa kuwakataza Gaza kutumia ukanda wa bahari kwa namna yeyote ile.
Haijatosha kila siku wanawalazimisha Wapalestina waondoke ktk makazi yao walioishi miaka na miaka tena kimabavu na wanawatimua kwa marungu bila kujali wanampiga mzee au mama.
Kaka unatarajia watu watakaa kimya wakuangalie?
Mm najijua ni muislam ila hili suala silitizami kidini bali nalitizama kidiplomasia km wengine je hii ni haki!!?
Hamas anastahili kusema asemayo maana hawa watu hawafai kuonelewa huruma.
Ungeona zile picha za IDF wakifukia vichwa watoto wadogo wa kipalestina miaka ya 2006 kaka usingesema usemalo sasa.
Ni kweli. Tatizo hapa lililo kubwa ni hizi jumuiya ta kimataifa ambazo sijawahi kuzikubali maana zina egemea upande na kuwa na sura ya ukandamizaji.
Kama maeneo ya nchi moja yanakaliwa na nchi nyingine kwa nguvu eti kwa kuwa ina nguvu za kijeshi ni kosa la kimataifa.
Na ndipo unapijiuliza iweje UN ikiite kikundi cha wapigania uhuru wa watu wake MAGAIDI?(Hamas).
Huwa mjadala wa Mashariki sipendi utumike kidini kwa kuwa najua Mungu Muumbaji ni Mungu wa dunia yote, ni Mungu wa Mayahudi na Ni Mungu wa Wapalestina ni Mungu wa Kabila zote.
Ushabiki wa eti biblia inasema au msahafu hauna ukweli kwa maana Mungu anauita wote
 
Mleta mada nakushauri soma kwanza kabla ya kuwa bias na upande wowote . Ila hamas awe gaidi umetumia kigezo kipi we we na wamarekani maana Mandela kashaitwa gaidi na hata mahatma Gandhi alipata itwa gaidi.

Secondly porojo za Israel kuhusisha makosa yaona swala la Hitler kuwauwa imekuwa ndio kawaida yao yaani ni sawa na sisi kila tatizo letu tumlaumu iddi amino bilashaka inakuwa ni ujinga.

Mwisho ikiwa wewe ni mfuasi wa imani flani fuatilia wafuasi was imani yako ndani ya Israeli wanaishije ili uwajue vizuri mayahudi na pia ukumbuke hamasi walichaguliwa na wananchi ila kwa kuwa wanapigania haki zao ndio maana wayahudi hawawapendi na kingine cha kumalizia hebu Nile size ya eneo LA Israel toka mwaja 1945 mpaka Leo ni kiasi gani na kipi kimebadilisha size ya eneo
Sina hakika lakini but nahisi kama unamshambulia mleta UZI wakati yeye kanukuu matamshi ya balozi wa Israel, ingawa pia nahisi mleta UZI kaongeza chumvi kwenye tafsiri yake (though sijasoma ya Kingereza but namna ya uletaji wake UZI kaongeza ongeza kidogo kachumbali ) so wa kulaumiwa hapa is either balozi na nchi yake ya Israel au HAMAS na wafuasi wao but sio mleta UZI, mleta UZI ni mjumbe na wote tunajua, mjumbe hauawi
 
Back
Top Bottom