Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

Hahahhahhahhhahahhahahahhahahahahahhahahhhahahhhahahahahahahhhahahah

putin kawaambia wakenye hiyo ligi ni soo ni kama kutikisa mbuyu unahisi unautikisa kumbe matako yako ndio yanayotikisika

pia kawapa ushauri mzuri wamalize njaa Kwanza
 
Ukraine hawana uwezo wa kupambana na the might Russia.Hata Nato nzima hawawezi
 
Sawa mzee baba
 
Putin ni mpumbavu anayetumiwa na shetani kufanya uharibifu. Na wanaoumuung amkopo wote ni mapumbavu kama yeye. Wote!.
 
Italy ......watamuunga mkono russia
 
Putin ni mpumbavu anayetumiwa na shetani kufanya uharibifu. Na wanaoumuung amkopo wote ni mapumbavu kama yeye. Wote!.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwaiyo mto post umefikilia vzur ukakubaliana na ukooo wako upost uu ujinga[emoji1]Mtoa POSt unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekua unasoma namna ya kutfta pesa kWA kutumia fursa zilizopo mtaan kwako badilika Acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero Brain
 
Zero brain ni wote wamuungao mkon0 putin na watu w usiyejua thamani ya general knowledge kwenye mafanikio. Wote, pumbavu.
 
Hii umeandika kwa mihemuko kwa sababu mkenya mwenzako karopoka huko. Hao raia waliotayari kupambana mbona wanakimbia mpaka

Hiyo ni kawaida kwa raia kutaharuki pale kuna tishio la vita vikuu, na watakimbia wengi, ila fahamu vita kama hivi huishia kuwa "war" badala ya "fight", maana Mrusi akilazimika kufanya carpet bombing huko Ukraine, atawaua raia kwenye nchi yao na kuanzia hapo ndio huwa tunaita "shit hitting the fan".
Hata Putin mwenyewe anajua vitamgharimu kishenzi, hapa bado anajaribisha kupima kina cha maji.
 
Zero brain ni wote wamuungao mkon0 putin na watu w usiyejua thamani ya general knowledge kwenye mafanikio. Wote, pumbavu.
Kina liliwyne wamekuharibu mkuu....haukuwa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…