Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

nawew thibitisha gadafi alikuwa na ubaya gani,tusiwe na idelogy za kijinga na facts zisizo na connection
sasa hii nini unasema?
Sasa si umeniiita zero brain kwa kusema ubaya wa Gaddafi!!!
Wwe inaonekana ata hujui Gaddafi unajua picha na jina yake tu😬😬😬😬
 
sasa hii nini unasema?
Sasa si umeniiita zero brain kwa kusema ubaya wa Gaddafi!!!
Wwe inaonekana ata hujui Gaddafi unajua picha na jina yake tu
sasa hii nini unasema?
Sasa si umeniiita zero brain kwa kusema ubaya wa Gaddafi!!!
Wwe inaonekana ata hujui Gaddafi unajua picha na jina yake tu😬😬😬😬
nipe facts gadafi kafanya yapi mabaya..
 
Watanzania munapenda kuteta sana!
Sasa Russia ikija iseme Daresalaam na Zanzibar zitambuliwe kama inchi nyingine mtakubali,hii Russia imeanza kujiingiza Afrika polepole wakati watatuteka ndio kutawaka moto,Kazi ya Russia nikupea magaidi wa inchi tofauti masilaha ndio ionekane ni akina America na France wanafanya hivo!
Hakuna mtu mweusi anayeishi huko Russia na kama kunae hawawezi kupita 1000!!!!!
Europe na America Waafrika tumepewa vyeo na heshima
Obama alishakuwa Rais wa Amerika,Lakini Russia katu hawawezi kukubali!
Watanzania msikuwe mnashangilia vitu tu hivyo,unaskia eti mtanzania ana supporti Russia na Russia ata hakutambui wwe mwafrika mweusi kama mimi!

Russia jeshi yake ya Red army ni very racists na wana abudu shetani,kabla hujaingia jeshi lao unabatizwa kishetani!!!
Hio inchi na ilivyo kubwa bado inataka kujinenepesha kwa kumeza inchi zengine!!!
Wanataka pia kuja huku Afrika kuleta jeshi zao polepole wakijifanya wanasaidia baadae ndio moto itawaka!!!
Mjomba kuhusu hiyo issue ya russia na Ukraine kama hujui historia na chanzo cha yote haya hebu kasome kwanza ndio uje.
 
sababu Gaddafi alikuwa terrorist!
Alijifanya akisema mazuri lakini mambo aliyofanya yalikuwa ya kinyama!
Ata sahi uko Libya wanamchukia na manavumbua ambavyo alifanya,alikuwa akinyanyasa nchi yake na alikuwa racist sana,alikuwa akisurporti magaidi,ambao walikuwa wakidhulumu wananchi wa Libya na kushambulia nchi zengine kigaidi
Alikuwa Osama wa Afrika!
Alikuwa anashikwa mkono na Arab states na kazi yao ilikuwa ni kuleta immigrants waarabu Afrika na kuwadhulumu Waafrika weusi!
Alijifanya mzuri ili aweze kututumia akijifanya anapenda Afrika,na alichukia Europe na Amerika sana!
Huyo jamaa kama hangemalizwa Afrika ingekuwa imejaa waarabu kotekote!
We mjomba hebu lala asee ..unajidhalilisha sana asee
 
Mpaka sasa mataifa yaliyounga mkono kwa uwazi utambuzi wa majimbo hayo kuwa ni "huru" ni Venezuela, Cuba, Nicaragua na Syria ya Assad. Bado nasubiri statements za mataifa mengine.

Waingereza wana msemo wao maarufu sana unasema: Birds of a feather flock together!
Angekuwepo naniliu angeushangaza ulimwengu kwa kuwabagaza mabeberu😆
 
mkuu shida huyu jamaa ni elimu
Mojinga wee😬
Mnaongea mkishabikia ujinga elimu ata ndio hio huna,Kama ubaya na uzuri wa Gaddaffi hujui na uko hapa ukijiona mwerevu pamoja na huyo mwenzako,
Jinga mbili😬😬
 
Mimi kibinafsi Nasupporti Nato na Ukraine!
Sababu mimi kama mwafrika mweusi,naweza kupewa kazi,na kuoa huko
Watanzania na waafrika wengine wameoa huko Russia wana "extended families" huko sasa kama ninyi akina Kacheng, mlichengwa na kuona utu wa waRussia mkabaki mnakimbilia chengi za watu wa magharibi hatuna cha kuwasaidia kuwachengua muwe safi kujua uhalisia wa dunia zaidi ya kuwaambia poleni na njoo tuwafundishe.

Sijui utanielewa maana sentensi ndeefu kweli!
 
sababu Gaddafi alikuwa terrorist!
Alijifanya akisema mazuri lakini mambo aliyofanya yalikuwa ya kinyama!
Ata sahi uko Libya wanamchukia na manavumbua ambavyo alifanya,alikuwa akinyanyasa nchi yake na alikuwa racist sana,alikuwa akisurporti magaidi,ambao walikuwa wakidhulumu wananchi wa Libya na kushambulia nchi zengine kigaidi
Alikuwa Osama wa Afrika!
Alikuwa anashikwa mkono na Arab states na kazi yao ilikuwa ni kuleta immigrants waarabu Afrika na kuwadhulumu Waafrika weusi!
Alijifanya mzuri ili aweze kututumia akijifanya anapenda Afrika,na alichukia Europe na Amerika sana!
Huyo jamaa kama hangemalizwa Afrika ingekuwa imejaa magaidi waarabu kotekote!
Je baada ya kumuua gaddafi...nini walichokifanya kumaliza civil wars
 
Watanzania na waafrika wengine wameoa huko Russia wana "extended families" huko sasa kama ninyi akina Kacheng, mlichengwa na kuona utu wa waRussia mkabaki mnakimbilia chengi za watu wa magharibi hatuna cha kuwasaidia kuwachengua muwe safi kujua uhalisia wa dunia zaidi ya kuwaambia poleni na njoo tuwafundishe.

Sijui utanielewa maana sentensi ndeefu kweli!
WaAfrika wagani Russia kwanza watanzania😱Hadithi za abunuasi vijiweni😂😂
Russia sio kama USA eti unachapisha mjulus kwa madada zao huko uweke mimba uolewe!,wwe mwafrika mweusi kama mimi,niwapi wakenya hatujafika eti unifunze!!?
Kwanza unajua population ya blacks uko Russia??
Hao ni facist,Rassists and Marxists!!!
Wanatambua tu White!!!
Na kama wananyanyasa Ukraine na ni white kama awo!je wwe mwafrika trako nyeusi kama mimi!!
 
si umeniita zero brains,inaonekana labda sijui Gaddaffi wwe ndio basi unafaa uniambie ni mzuri aje,kafanya nini????
Gaddafi alikuwa ni anti marekani .......hizo sifa zote Mbaya utapewa ukiwa against US interests

That's y umesema. URUSI wanaabudu shetani[emoji23][emoji23][emoji23]. Hi misemo ilitumika zaman na wazungu kuwa wacommunist ni mashetan
 
Back
Top Bottom