Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

Pro liberarist hawa
 
Njaa inawaponza Sana ndugu zetu hawa
 
Those puppets leaders na machawa wa USA lazma waunge mkono na kumshambulia Russia

Huko palestina, wamarekani walipora ardhi kibabe na kuikabidhi kwa matapeli wenzao hao wayahudi wa uongo, and no one cared, yaan hata UN ilibariki ili jambo as if lilikuwa zuri.

Sas Russia anapojaribu nae kujimilikisha ardhi anazodai zake, why mumuandame kiasi hicho?

Siasa za dunia ni hovyo sana yaan
 

Boya tu huyo.
 
Kuliko kutumia muda mwingi kuchangia vitu huvijui, angalau soma kidogo kuhusu Sheria za kimataifa itakusaidia zaidi. Nchi huru zina haki na mamlaka zake, ikiwa ni mamlaka ya kujiamulia mambo yake.
Wew nae hujui kitu, hizo sheria za kimataifa na hayo makundi ya jumuiya za kimataifa kwa taarifa yako, hawa wote ni machawa wa Umagharibi+USA kwaiyo agenda yoyote ktk jumuiya hizo zilishabarikiwa na wamagharibi+USA kuwa sheria&kanuni zitafanya kazi kulingana na matakwa ya wao wanavyopenda haijarishi ni muda gan.

Na kwakuwa wanajinadi kusambaza ushawishi ktk mataifa mengi haswa bendera fuata upepo toka afrika, so ni vigumu kwenda kinyume na sheria hizo, maana hata ukipinga bado kwenye kamati zao za kulipima jambo lako hutopata kura nyingi, kwakuwa wengi hufuata agenda za misimamo ya bwana wao USA.

Kaa kwa kutulia kjna bado huijui dunia
 
Unafiki na ujuaji wa wakenya hauachi kunifurahisha hata siku moja: Hivi wakenya wangekuwa wanaheshimu sheria za kimataifa, wangejisumbua kutaka kuchukua mpaka wa bahari wa Somalia kisa imetambulika kuna mafuta. Mbali na hapo, Kenya imekataa kuheshimu hata maamuzi ya taasisi za kiafrika ambazo zilitoa amri kwamba Kenya iwape uraia watoto wa Nubia. Vipi kuhusu kisiwa cha Minjingu ???
 
Huwa napata taabu Sana kutofautisha ....majukumu ya USA na UN kwny world affairs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…