Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
sasa hii nini unasema?nawew thibitisha gadafi alikuwa na ubaya gani,tusiwe na idelogy za kijinga na facts zisizo na connection
sasa hii nini unasema?
Sasa si umeniiita zero brain kwa kusema ubaya wa Gaddafi!!!
Wwe inaonekana ata hujui Gaddafi unajua picha na jina yake tu
nipe facts gadafi kafanya yapi mabaya..sasa hii nini unasema?
Sasa si umeniiita zero brain kwa kusema ubaya wa Gaddafi!!!
Wwe inaonekana ata hujui Gaddafi unajua picha na jina yake tu😬😬😬😬
si umeniita zero brains,inaonekana labda sijui Gaddaffi wwe ndio basi unafaa uniambie ni mzuri aje,kafanya nini????nipe facts gadafi kafanya yapi mabaya
Mjomba kuhusu hiyo issue ya russia na Ukraine kama hujui historia na chanzo cha yote haya hebu kasome kwanza ndio uje.Watanzania munapenda kuteta sana!
Sasa Russia ikija iseme Daresalaam na Zanzibar zitambuliwe kama inchi nyingine mtakubali,hii Russia imeanza kujiingiza Afrika polepole wakati watatuteka ndio kutawaka moto,Kazi ya Russia nikupea magaidi wa inchi tofauti masilaha ndio ionekane ni akina America na France wanafanya hivo!
Hakuna mtu mweusi anayeishi huko Russia na kama kunae hawawezi kupita 1000!!!!!
Europe na America Waafrika tumepewa vyeo na heshima
Obama alishakuwa Rais wa Amerika,Lakini Russia katu hawawezi kukubali!
Watanzania msikuwe mnashangilia vitu tu hivyo,unaskia eti mtanzania ana supporti Russia na Russia ata hakutambui wwe mwafrika mweusi kama mimi!
Russia jeshi yake ya Red army ni very racists na wana abudu shetani,kabla hujaingia jeshi lao unabatizwa kishetani!!!
Hio inchi na ilivyo kubwa bado inataka kujinenepesha kwa kumeza inchi zengine!!!
Wanataka pia kuja huku Afrika kuleta jeshi zao polepole wakijifanya wanasaidia baadae ndio moto itawaka!!!
Mjomba kuhusu hiyo issue ya russia na Ukraine kama hujui historia na chanzo cha yote haya hebu kasome kwanza ndio
We mjomba hebu lala asee ..unajidhalilisha sana aseesababu Gaddafi alikuwa terrorist!
Alijifanya akisema mazuri lakini mambo aliyofanya yalikuwa ya kinyama!
Ata sahi uko Libya wanamchukia na manavumbua ambavyo alifanya,alikuwa akinyanyasa nchi yake na alikuwa racist sana,alikuwa akisurporti magaidi,ambao walikuwa wakidhulumu wananchi wa Libya na kushambulia nchi zengine kigaidi
Alikuwa Osama wa Afrika!
Alikuwa anashikwa mkono na Arab states na kazi yao ilikuwa ni kuleta immigrants waarabu Afrika na kuwadhulumu Waafrika weusi!
Alijifanya mzuri ili aweze kututumia akijifanya anapenda Afrika,na alichukia Europe na Amerika sana!
Huyo jamaa kama hangemalizwa Afrika ingekuwa imejaa waarabu kotekote!
Angekuwepo naniliu angeushangaza ulimwengu kwa kuwabagaza mabeberu😆Mpaka sasa mataifa yaliyounga mkono kwa uwazi utambuzi wa majimbo hayo kuwa ni "huru" ni Venezuela, Cuba, Nicaragua na Syria ya Assad. Bado nasubiri statements za mataifa mengine.
Waingereza wana msemo wao maarufu sana unasema: Birds of a feather flock together!
Mojinga wee😬mkuu shida huyu jamaa ni elimu
ata mimi sijui😬😂😂😂😂😂Eti jinga mbili..... ghaaiii ndio nini?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sisi sio vibaraka Kama nyie
Watanzania na waafrika wengine wameoa huko Russia wana "extended families" huko sasa kama ninyi akina Kacheng, mlichengwa na kuona utu wa waRussia mkabaki mnakimbilia chengi za watu wa magharibi hatuna cha kuwasaidia kuwachengua muwe safi kujua uhalisia wa dunia zaidi ya kuwaambia poleni na njoo tuwafundishe.Mimi kibinafsi Nasupporti Nato na Ukraine!
Sababu mimi kama mwafrika mweusi,naweza kupewa kazi,na kuoa huko
Je baada ya kumuua gaddafi...nini walichokifanya kumaliza civil warssababu Gaddafi alikuwa terrorist!
Alijifanya akisema mazuri lakini mambo aliyofanya yalikuwa ya kinyama!
Ata sahi uko Libya wanamchukia na manavumbua ambavyo alifanya,alikuwa akinyanyasa nchi yake na alikuwa racist sana,alikuwa akisurporti magaidi,ambao walikuwa wakidhulumu wananchi wa Libya na kushambulia nchi zengine kigaidi
Alikuwa Osama wa Afrika!
Alikuwa anashikwa mkono na Arab states na kazi yao ilikuwa ni kuleta immigrants waarabu Afrika na kuwadhulumu Waafrika weusi!
Alijifanya mzuri ili aweze kututumia akijifanya anapenda Afrika,na alichukia Europe na Amerika sana!
Huyo jamaa kama hangemalizwa Afrika ingekuwa imejaa magaidi waarabu kotekote!
WaAfrika wagani Russia kwanza watanzania😱Hadithi za abunuasi vijiweni😂😂Watanzania na waafrika wengine wameoa huko Russia wana "extended families" huko sasa kama ninyi akina Kacheng, mlichengwa na kuona utu wa waRussia mkabaki mnakimbilia chengi za watu wa magharibi hatuna cha kuwasaidia kuwachengua muwe safi kujua uhalisia wa dunia zaidi ya kuwaambia poleni na njoo tuwafundishe.
Sijui utanielewa maana sentensi ndeefu kweli!
Gaddafi alikuwa ni anti marekani .......hizo sifa zote Mbaya utapewa ukiwa against US interestssi umeniita zero brains,inaonekana labda sijui Gaddaffi wwe ndio basi unafaa uniambie ni mzuri aje,kafanya nini????