Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Kwa taarifa yako nchini Kenya watumishi kama hao ni wa kujituma zaidi. Kwa mujibu wa katiba na taaluma zao pia. Sio kama wale wenu wa kutetemeka na kutokwa na kijasho wakimuona mzee. Wale wenye mazoea ya kuketi kitako maofisini wakingoja maagizo kutoka juu. Sawa mataga? Katage yai sasa.
Hujui shughuli za kibalozi mbwiga wewe, ndio ukae ukijua jubilee wamemu endorse magufuli tena, mataga ni make Tz better again, sasa ww baki hapo ukiwaza mayai huku magufuli your pain in your ass is making progress.
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app