Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Basi imekula kwenu
Hao ni wateja wapya wa juzi juzi, lakini Kenya imekua suply route yenu kubwa tokea zamani sana, Kuna vitu vyengine kule Ugaibuni hamngeuza bila kupitishia Kenya.. Hata hao Rwanda wenyewe licha ya kua na kampuni kubwa ya ndege, kuna mazao mengine kama chai hua wanayapitishia Kenya kabla ya chnganywe na bidhaa za Kenya ndo zisafirishwe pamoja.
 
Back
Top Bottom