Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Ngoja nikazane kula huenda minofu nitaikuta chini.Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Mkuu pale wana kitengo cha kutafsiri vitu hadi magazeti ya kiswahili huwa yanatafsiriwa. Ndio maana wanajua mengi ya nchi kuliko sisi wenyeweMimi nilijua hawatapata tafsiri iliyonyooka kwa sababu hotuba ilikuwa kwa kindengereko.
Muda utaongeaSo What?
Hesabu yako na ya balozi zimetofautiana.Tz inapata msaada zaidi ya $1 billion annually toka Marekani.
Hukupaswa kuandika "pole"!Uandishi wangu huwa ndivyo ulivyo mkuu.Mkuu pale wana kitengo cha kutafsiri vitu hadi magazeti ya kiswahili huwa yanatafsiriwa. Ndio maana wanajua mengi ya nchi kuliko sisi wenyewe
ndio hizo wanaenda kufanyia matanuzi dubai kumbeJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Unaweza kuta ndo zinalipa hadi mishahara ya watumishi wa Ummandio hizo wanaenda kufanyia matanuzi dubai kumbe
Maneno ya masikini asiye na akili. Endelea kujipa moyoMbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Hii misaada haipo fixed ni kiasi fulani. Inategema budget na mambo mengine. Soma report ya US State department au USAID report.Hesabu yako na ya balozi zimetofautiana.
Mahela ya bure ya wazungu hutumika hivyo.Mchina au mwarabu anataka mpeane mikataba ya miradi.ndio hizo wanaenda kufanyia matanuzi dubai kumbe
kwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣