Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Maskini ni wewe choko , eti unapewa msaada fanya kazi mtoto wa kiume ...Unashobokea watu wala hwakujui kiande 😀 😀 😀Maneno ya masikini asiye na akili. Endelea kujipa moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini ni wewe choko , eti unapewa msaada fanya kazi mtoto wa kiume ...Unashobokea watu wala hwakujui kiande 😀 😀 😀Maneno ya masikini asiye na akili. Endelea kujipa moyo
Huyu jamaa ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Marekani na alikuwa Chaplain Jeshini. Yaaani MchungajiMabalozi wengi ni wanajeshi wa zamani au mashushushu wa zamani.
Empty
Unawazungumzia na Polisi wanaotutesa?Unaweza kuta ndo zinalipa hadi mishahara ya watumishi wa Umma
Acheni kutembeza bakuli sasakwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?
au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒
au ni kimbelembele tu 🤣
Sio wapangie watu na misaada yao ya vilainishi wapeleke israel wanakotaka misaada!Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Uzuri kila mtu anajua umaskini wake🤣🤣🤣Maskini ni wewe choko , eti unapewa msaada fanya kazi mtoto wa kiume ...Unashobokea watu wala hwakujui kiande 😀 😀 😀
Hizo ni Pesa bwashee sio vilainishiSio wapangie watu na misaada yao ya vilainishi wapeleke israel wanakotaka misaada!
Tema mate chini ndugu yangu, acha dharau, Magufuli alikua bonge la liar....anyway acha aendelee kupumzikaMbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
then?🐒Huo ndio ukweli wenyewe
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Tulia dawa itaingia taratibuthen?🐒
Duh!Huyu jamaa ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Marekani na alikuwa Chaplain Jeshini. Yaaani Mchungaji
Hawana pesa hao ni vilainishi!Hizo ni Pesa bwashee sio vilainishi
Harafu kuna kenge wa CCM, anasema, hii nchi huru hatupangiwi! Pambafu!Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Sasa itakuwaje?Huyu jamaa ni Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Marekani na alikuwa Chaplain Jeshini. Yaaani Mchungaji
yeye hana shida, hata tukifutiwa misaada watu wakaishi kwa shida kama kipindi cha jiwe, tayari mwarabu keshamuhifadhia za kutosha. abdul amefanya shughuli nyingi kwa kipindi kifupi sana hapo walipo hawana uchungu tena na Tanganyika, na hawana cha kupoteza.Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Turudishe mpira kwa kipa tuSasa itakuwaje?
What what?So What?