Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Acha uongo wewe ni UWT upo mjini magharibi, hakuna mtu mjinga Kagera/bara kama wewe
 
C
Cdm wanalipwa na serikali kwa kazi ipi wanafanya?? Matumizi mabaya ya hela za walipa kodi
 
kwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?

au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒

au ni kimbelembele tu na kutaka sifa za kijinga?🤣
Walileta tu au baada ya kutembeza bakuli kenge wewe 😄 🤣 😂 ile hospital ya Dareja na Hydom ulijenga wewe
 
Mnakufaa njaa vizuri tu bila misaada unajua impact ya trillion 25?! Kama hujui Tanzania pesa za miradi zote ni za wafadhili na madafu yetu yanaishia kwenye kulipana mishahara
 
"Mabeberu" wametupa pesa nyingi sana!
 
Kila Rais husakamwa anapokuwa ikulu na husifiwa anapoondoka ikulu. Kuna mamia ya viwanda vinaendelea kujengwa muda huu na vitakuja kusaidia katika kupambana na tatizo kubwa la ajira ndani ya miaka miwili au mitatu ijayo.

Nilisoma chuo kikuu Ukraine miaka ya 90 katikati naijua na najua siasa ya USA ya kutumia CNN na vyombo vyake vya propaganda katika kujipa maujiko siku zote.

Mmarekani anastahili kunyooshewa vidole sawa na anavyooshea mataifa mengine.
 
Hii misaada yao ndiyo inawapa kiburi cha kutukoromea utafikiri sisi ni makoloni yao.
Ni wakati muafaka wa kujielekeza GLOBAL SOUTH ili tuondokane na Hegemony ya mabeberu.
 
"Viwanda" ndivyo viwe gharama ya maisha ya waTanzania? Hoja yako hapa inakushusha daraja. Kulalamikiwa uongozi/rais hakujawahi kufikia kiwango hiki na kwa mambo mengi mbalimbali kiasi hiki. Samia kashuka sana. Mbaya zaidi, badala ya kuelewa yanayo lalamikiwa, hotuba zake zinazidi kuchochea moto, akidhani kuvimba kwake ndiko kutatia watu hofu.

Ndiyo, Mmarekani anastahili kunyooshewa vidole kwa mengi yanayofanywa nje ya nchi hiyo; lakini hakuna kiongozi aliye thubutu kufanya ujinga ndani ya nchi hiyo akabaki salama kama hawa wa kwetu. Kwa hiyo, hawa wakikoromewa na huyo huyo Mmarekani, pamoja na ubaya wake unao julikana nje, raia wanaonyanyaswa na viongozi wao kama Samia ni lazima washangilie.

Kama umesoma Ukraine, halafu ukaandika yale uliyo andika kule mwanzo, inaonyesha hukujifunza vizuri uhusiano wao na Urusi/Marekani ulivyo geuka kuwa sasa hivi.
 
Hii misaada yao ndiyo inawapa kiburi cha kutukoromea utafikiri sisi ni makoloni yao.
Ni wakati muafaka wa kujielekeza GLOBAL SOUTH ili tuondokane na Hegemony ya mabeberu.
Haisaidii kitu. Huko Global South ndiko wanakotaka ujinga uijnga wanaofanya akina Samia? Wananchi wakichachamaa, hao Global South wataleta jeshi kuja kumsaidia Samia kubaki madarakani kwa nguvu?
 
Huko Marekani walitaka kumuua Trump sababu mpinzani.. and he has audacity lecturing us about mauaji na utekaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…