Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Ngoja pesa za kupewa maana kazi hutaki , angalia marinda hayo maana unakosa msimamo kwa mabwana zako 😀 😀
Mkuu mbona una makasiriko na lugha kali hivyo kwenye mijadala inayohitaji kutumia ubongo tu. Mbona unaenda mbali sana bila sababu yoyote ile? Huoni kama tumeamua kukubali kusaidiwa na hatuwezi kwenda bila hiyo misaada na mikopo? Tafadhali acha hizo lugha za kihuni na tuendelee na mjadala kama watu wenye bongo zetu kamili.
 
Mkuu mbona una makasiriko na lugha kali hivyo kwenye mijadala inayohitaji kutumia ubongo tu. Mbona unaenda mbali sana bila sababu yoyote ile? Huoni kama tumeamua kukubali kusaidiwa na hatuwezi kwenda bila hiyo misaada na mikopo? Tafadhali acha hizo lugha za kihuni na tuendelee na mjadala kama watu wenye bongo zetu kamili.
Rais kashaongea we muoga unapiga keleke kwa ID ya kujificha , ukileta fujo mtachapa sana maana hamna akili ...Nendeni huko kweny democracy watu wanapigwa risasi kila siku .
 
kwahiyo alikua anahitaji sifa, alikua anahitaji kuabudiwa na kupigiwa makofi?

au kuna siku au mahali nchi yake ililazimishwa kuleta misaada Tanzania na kwengineko duniani?🐒

au ni kimbelembele tu na kutaka sifa za kijinga?🤣
Wewe punguani, umeandika nini hiki..
 
Hao ni binadamu tu, kisa wanawapa pesa nyinyi wanaharakati wa siasa za bongo haIwafanyi wakawa wamefikia hatua za umalaika, ni binadamu wenye kukosolewa na kuambiwa ukweli pale wanapokengeuka.
Lini Marekani mtu ameua au kupiga risasi na asikamatwe? kutoa ushauri kwamba serikali iunde tume huru ni vibaya?
 
Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .

Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Wangetaka machafuko, hiyo pesa wangeitumia hata hao walinzi wangemgeuka.
 
Rais kashaongea we muoga unapiga keleke kwa ID ya kujificha , ukileta fujo mtachapa sana maana hamna akili ...Nendeni huko kweny democracy watu wanapigwa risasi kila siku .
Nakushauri umtafute mtaalamu wa magonjwa ya akili mapema kabisa, naona upstair una tatizo kubwa sana.
 
Nakushauri umtafute mtaalamu wa magonjwa ya akili mapema kabisa, naona upstair una tatizo kubwa sana.
We hauna athari ni nyuzi hata wiki mtakuwa kimya 😀 😀 😀Una njaa sasa msubirie USA akupe chakula.
 
Lini Marekani mtu ameua au kupiga risasi na asikamatwe? kutoa ushauri kwamba serikali iunde tume huru ni vibaya?
Marekani kuna maelfu ya kesi zinazochukua miaka bila ya kujulikana nani ni muuaji na ana malengo gani (cold cases).

Zinaweza zikawa hai hata kwa miaka 30 mpaka ushahidi kamili upatikane ndio hukumu inatolewa.
 
Marekani kuna maelfu ya kesi zinazochukua miaka bila ya kujulikana nani ni muuaji na ana malengo gani (cold cases).

Zinaweza zikawa hai hata kwa miaka 30 mpaka ushahidi kamili upatikane ndio hukumu inatolewa.
Naongelea kukamatwa, imagine angekuwa ameuliwa mzanzibar au mwanaccm angekuwa hajakamatwa mpk sasa? tuache ushabiki
 
Binafsi ningeshauri serikali ichubguze haya mauaji, kuuliwa binadamu kwa kutekwa au kuoigwa risasi na watu wasio julikana nchini kwao sio vizuri na haileti tija kwa taifa, serikaki iache kuhusisha mauji ya raia yake na siasa , serikali itimize wajibu wake wa kulinda maisha ya watanzania wote kwa usawa bila kujali itikadi zao.

Suala la mabalozi kutoa ushauri wao sio baya pia , ila wasiingilie mambo ya ndani ya nchi yetu, ndio tu masikini lakini tuko huru pia.

Mimi binafsi ningependa kuona Tanzania tuna jitegemea lakini sio swala la leo au kesho Lita chukua muda , kwa hiyo njia nyepesi na haraka tunapo subiri tujitegemee ni kwa serikali kutenda haki na kuzuia mauaji holela ya raia wake na kuepuka misuguano na mataifa makubwa, kwa ufupi haki ndio itaiweka serikali huru.
 
Kwao hamna homeless? Watoe umaskini wa kwao ubaki zero kabisa ?
Wale siyo kwasababu ya umasikini. Wengi ni veterans ambao waliathiriwa na vita pamoja na wengine walioathiriwa na madawa ya kulevya.
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Kwani nani alisema vinakubaliwa?

Kiswahili kinawapiga chenga au mmezoweshwa kuanzia wadogo?
 
Mkuu pale wana kitengo cha kutafsiri vitu hadi magazeti ya kiswahili huwa yanatafsiriwa. Ndio maana wanajua mengi ya nchi kuliko sisi wenyewe
Kwa kuongezea tu.
Wanajua kila kitu kwa sababu wapo makini na wanafanya kwa masilahi mapana ya Taifa leo.

Wanajua pesa zinazotolewa zinapigwa sana.

Sio kama barozi zetu wamejaa wapumbavu ni kuangalia masilahi yao binafsi
 
Harafu kuna kenge wa CCM, anasema, hii nchi huru hatupangiwi! Pambafu!
Hongera America, bravo Mr Michael battle(balozi wa USA), na kwa wale vilaza wa CCM,
Huyo balozi, Mwanajeshi, mstaafu, ni pastor, na ni carrier diplomat,
Sio hawa, wa kwenu,kikubwa walichonacho, ni kadi za TANU, za, babu zao,na PHD za kuokota,
Balozi kanena vyema. Bila demokrasia ni kama kutwanga maji kwenye kinu,maendeleo tutayasikia tu.
 
Pumbafuu vinuka mkojo wote wa Chama cha kijani au Chama chakavu wanapumulia mashine na CHURA wao KIZIWI wanaemfuga
 
Back
Top Bottom