Alikuja rais Clinton wa Marekani hapa TZ. Mbona mitandao yote ya simu ilizimwa kwa masaa zaidi ya 6 huwezi kupiga simu popote. Ubalozi huu huu wa US mbona haukulalamika??? Serikali inawajibika kwa usalama na inapoona mawasiliano fulani yanaweza kuleta shida wanafunga.Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
Kama ni hivyo, ni Marekani ndio inayowashwa kwa sababu yeye ndio mwakilishi wake. Ukiifumania hiyo diplomatic cable unaweza ukapata kiwewe kwa jinsi anavyotoa taarifa nyumbani kwao.Huyu balozi wa Marekani naona anawashwa
Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
[/QUOTEBalozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807 sawa kiranja wa dunia tusaidie
Mbona miaka ya nyuma haikuwa hivyo? Kwa ushindi wa asilimia 84.4 tulitarajia mawasiliano yasifungwe, ila imekuwa kinyume chake.Alikuja rais Clinton wa Marekani hapa TZ. Mbona mitandao yote ya simu ilizimwa kwa masaa zaidi ya 6 huwezi kupiga simu popote. Ubalozi huu huu wa US mbona haukulalamika??? Serikali inawajibika kwa usalama na inapoona mawasiliano fulani yanaweza kuleta shida wanafunga.
Safi.Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
Hebu tukumbushe Clinton alikuja Tanzania mwaka gani kama Rais wa Marekani.?? Bill Clinton alikuwa rais wa Marekani toka 20 Jan 1993 mpaka21 Jan 2001. Na Mobile telecoms zimeingia TZ late 2000. Sasa ni lini Clinton alitembelea TZ kipind chake cha urais na mitandao ipi ambayo ilizimwa ambayo kiuhalisia haikuwepo wala hakukuwa na twitter, FB, whatsapp kipind cha clinton.Alikuja rais Clinton wa Marekani hapa TZ. Mbona mitandao yote ya simu ilizimwa kwa masaa zaidi ya 6 huwezi kupiga simu popote. Ubalozi huu huu wa US mbona haukulalamika??? Serikali inawajibika kwa usalama na inapoona mawasiliano fulani yanaweza kuleta shida wanafunga.
There are many more arbitrary arrests and detentions against the opposition candidates.No wonder our image is so tarnished by the government acts than individuals.Yet the blame is thrown to the critics. So shameful!Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
Uzuri hata yeye anajua kuwa wananchi wa Tanzania wamemkataa ndiyo maana akachukua kura million 12 kutoka NEC, kwani kwa kura alali alijua kabisa hatoboi, unakumbuka fomu moja ya chama chake?Utangoja miaka mitano inayokuja na huko pia mtaangukia pua
Takuwa na wao wamenunua VPN kwa wahuniHivi kwani ubalozi nao ulionja shubiri ya mawasiliano ?
Ujinga ni kuwaza ujinga kama huu.Uzuri hata yeye anajua kuwa wananchi wa Tanzania wamemkataa ndiyo maana akachukua kura million 12 kutoka NEC, kwani kwa kura alali alijua kabisa hatoboi, unakumbuka fomu moja ya chama chake?
Kuna watu wengi wanazolewa na mkumbo wa uvccm na kusifia mambo ya ajabu kabisa (ukatili , mauaji, uonevu , uvunjifu wa sheria , uwizi) ambayo hata uvccm wenyewe kisiri wanayapinga.
Hatutafikia huko, jeshi letu lipo imara sanaYalianza hivi hivi tweet, baadae vikundi kisha maangamizo . Kuna watu wananzani watabaki salama kisa wanamiliki bunduki na wanaviapo
What these ccm thugs and their partners in crime poliseccm doing , is like someone stepping on your toes, and when you want to let him and the world know that he stepped on your toes, he is silencing you so you can't even talk!Yaani kwa akili zako ndogo unaona huyo balozi anakusaidia kabisa? Ameshindwa kusaidia black wa kwao aje akuaaidie wewe? Shtuka ndugu
Hahahaaa kanikera ndio maana nimetukana..ujue hawa wanalao jambo ndio maana wanatetea mtu kuhamasisha vurugu mi nadhani huyu balozi nae wa kutimua tu halafu lile jengo likawa ubalozi wa korea kaskaziniUsingetukana hapo mwishoni mkuu, maana ulikuwa tayari na bonge la pointi. Hawa jamaa wanataka kiongozi "ngunguri" kama Mr Kiduku. Hapo wanakuja wenyewe kukusalimia. Re: Kisiwa cha Kyuba, Iran, Venezuela nk
Hao wanajeshi wenye vimisharahara vya laki 5 wanaoshia kubebwa kwenye makarandiga wana uwezo wa kupigana vita gani ?Hatutafikia huko, jeshi letu lipo imara sana
Wapinzani bhana, kwaio mnataka nchi nzima tulie, akili za kiLibya izo, wanaozipandikiza tunawajua.. mshafeli.