Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

Kama ni hivyo, ni Marekani ndio inayowashwa kwa sababu yeye ndio mwakilishi wake. Ukiifumania hiyo diplomatic cable unaweza ukapata kiwewe kwa jinsi anavyotoa taarifa nyumbani kwao.
Kutoa taarifa hilo ni mishe yake swala wabongo wanao shirikiana nao ndo tatizo jna saliti nchi yako kisa tumbo awo ndo wakukamata na kuwawajibishaa kwa makosa ya uhaini uhujumu uchumi na kupanga njama za kuliuza taifa
 

Uko hapa jF na hujui kazi ya askari.waachwe ili iweje. Kinga ni bora kuliko tiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…