Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

Go and tell your government. Ignorant ambassador
 
Kabisa anajijengea tabia ya kuingilia siasa za Tanzania; huku anajifanya kiziwi kwa matamshi hatari yanayotolewa ya kuvunja amani na hao anaowatetea.
 
Kabisa kwani viongozi wanaojali matumbo yao tu na sio Watanzania kwani hata familia zao wao wameshazinusuru kwa kuwaondoa alfu wanawaambia watanzania waandamane ili waumie wafe Tanzania ibakie yao tu
 
Hakuna anayeandamana. Watu wanahangaikia mlo wao.
Wapinzani waliingia chaka kudhani watu wako serious nao.
 
Hivi huyu baba hanaga kazi zingine? Kwa Kenya huwaga wanaside na serikali kukandamiza wapinzani kwa Tz wanaside na wapinzani dhidi ya serikali. Wamerekani wanafiki sana jamani
Tuseme ukweli tu SERIKALI YA TANZANIA awamu ya tano ni Serikali dhalimu sana. Yani huwezi kutofautisha Tanzania na Burundi au Rwanda kwa sasa. Tanzania ni nchi iliyojijengea heshima kubwa kidemokrasia Leo hii tumekuwa kituko.

Swali unalotakiwa kujiuliza, je wanayoyasema marekani ni ya kweli au wanamsingizia MAGUFULI???

Mitandao imezimwa au haijazimwa??? Kura zimeibiwa au hazijaibiwa??

UCHAGUZI ulikuwa huru au uhuni tu??

Je magufuli asingefanya dhulma ya yote haya Marekani wangemsema vibaya? ?

Tatizo ni MAGUFULI...ni MAGUFULI tu
 
Na wao wana uchaguzi wadili na uchaguzi wao
 
Balozi huyo ameandika:

Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, r
Serikali inafahamu inachofanya hivyo asijaribu kuingilia maamuzi yetu kama ambavyo hatuingilii maamuzi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…