Balozi wa Palestina Nchini aomba Dunia ipaze sauti kulaani vita dhidi ya Israel

Balozi wa Palestina Nchini aomba Dunia ipaze sauti kulaani vita dhidi ya Israel

Huwa najiuliza hamas aliwaza nini? Kwa nini hakuwaandaa watu wa Gaza na hayo machafuko?

Au walihisi ile ambush wamngemaliza adui yao mara moja.?

Lakini wangeamua kushambulia maeneo ya serikali na jeshi isingeleta shida sana kuliko walivyovyamia raia wa kawaida na kuwaua na kuwateka..hapo adui yake amempa nguvu ya kumuharibu na yeye na watu wa Gaza huku dunia ikiwa imezibwa mdomo..video clips zinatembezwa kwa wingi kuwaonyesha walivyokamata raia na kuwaua..timing ilikuwa mbovu.

Lakini nadhani israel nae hakuwa na mpango tena pengine na hao jamaa wa hamas na aliamini pengine amani itatawala ndio maana alipunguza nguvu ya ulinzi kwenye mipaka yake na anga.

Au hamas aliahidiwa aivamie israel kisha hezbollah na wengine wataingia kwa fujo kumaliza game halafu wakawatosa?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wameombwa kupaza sauti zao kulaani mashambulizi yanayofanywa na Taifa la Israel kwenye Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Rai hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Balozi wa Palestina Nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya machafuko yanaendelea kati ya Israel na Palestina.

Balozi Abuali amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.

Balozi Abuali amesema mbali na kuondoa roho za watu machafuko hayo yamewaacha zaidi ya watu milioni 2.2 ya Palestina wakiwemo Watoto kukosa mahali pakukaa.

"Hakuna mafuta, hakuna umeme, hakuna chakula, hakuna maji yaani kila kitu kimefungwa, zaidi ya watu 1300 wamekufa, Watoto wakiwemo 344, makazi 790 yameharibiwa huku zaidi ya Wapalestina 339,000 wameyakimbia makazi yao," amesema.

Hata hivyo, Balozi Abuali amezitaka Jumuiya za Kimataifa kupinga kile alichokiita ukatili unaofanywa na Israeli kwa Wananchi wa Palestina.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Mshikamano kati ya Tanzania na Palestina, Abdulaha Athuman amewataka Watanzania waungane kwa pamoja kulisaidia Taifa la Palestina kulaani kile kinachofanywa na Israel kwa Taifa la Palestina.

Athumani amesema Taifa la Palestina kwa miaka mingi limekuwa likisaidia Mataifa ya Afrika ikiwemo ukombozi wa uhuru kwenye baadhi ya nchi za Afrika.
Atulie na kuacha wanaume wamuonyesha jinsi kibano mpka wanyooke
 
Sisi hatufungamani na upande wowote so tumetulia tuu.kutokana na Ile NAM
 
Watanzania wameombwa kupaza sauti zao kulaani mashambulizi yanayofanywa na Taifa la Israel kwenye Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Rai hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Balozi wa Palestina Nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya machafuko yanaendelea kati ya Israel na Palestina.

Balozi Abuali amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.

Balozi Abuali amesema mbali na kuondoa roho za watu machafuko hayo yamewaacha zaidi ya watu milioni 2.2 ya Palestina wakiwemo Watoto kukosa mahali pakukaa.

"Hakuna mafuta, hakuna umeme, hakuna chakula, hakuna maji yaani kila kitu kimefungwa, zaidi ya watu 1300 wamekufa, Watoto wakiwemo 344, makazi 790 yameharibiwa huku zaidi ya Wapalestina 339,000 wameyakimbia makazi yao," amesema.

Hata hivyo, Balozi Abuali amezitaka Jumuiya za Kimataifa kupinga kile alichokiita ukatili unaofanywa na Israeli kwa Wananchi wa Palestina.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Mshikamano kati ya Tanzania na Palestina, Abdulaha Athuman amewataka Watanzania waungane kwa pamoja kulisaidia Taifa la Palestina kulaani kile kinachofanywa na Israel kwa Taifa la Palestina.

Athumani amesema Taifa la Palestina kwa miaka mingi limekuwa likisaidia Mataifa ya Afrika ikiwemo ukombozi wa uhuru kwenye baadhi ya nchi za Afrika.
Kwenye matatizo ndio mnajua kuna watanzania, hatupigi kelele wala mayowe. Mmelikoroga mlinywe wenyewe!
 
Watanzania wameombwa kupaza sauti zao kulaani mashambulizi yanayofanywa na Taifa la Israel kwenye Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Rai hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Balozi wa Palestina Nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya machafuko yanaendelea kati ya Israel na Palestina.

Balozi Abuali amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.

Balozi Abuali amesema mbali na kuondoa roho za watu machafuko hayo yamewaacha zaidi ya watu milioni 2.2 ya Palestina wakiwemo Watoto kukosa mahali pakukaa.

"Hakuna mafuta, hakuna umeme, hakuna chakula, hakuna maji yaani kila kitu kimefungwa, zaidi ya watu 1300 wamekufa, Watoto wakiwemo 344, makazi 790 yameharibiwa huku zaidi ya Wapalestina 339,000 wameyakimbia makazi yao," amesema.

Hata hivyo, Balozi Abuali amezitaka Jumuiya za Kimataifa kupinga kile alichokiita ukatili unaofanywa na Israeli kwa Wananchi wa Palestina.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati ya Mshikamano kati ya Tanzania na Palestina, Abdulaha Athuman amewataka Watanzania waungane kwa pamoja kulisaidia Taifa la Palestina kulaani kile kinachofanywa na Israel kwa Taifa la Palestina.

Athumani amesema Taifa la Palestina kwa miaka mingi limekuwa likisaidia Mataifa ya Afrika ikiwemo ukombozi wa uhuru kwenye baadhi ya nchi za Afrika.
Mwaka 1948 taifa lililojulikana kama Palestina lilifutwa katika ramani ya dunia na taifa jipya la Israel likabuniwa badala yake. Majeshi ya Kizayuni yaliwafukuza Wapalestina takriban 800,000 kutoka makazi na ardhi yao, wakanyakua asilimia 75 ya ardhi ya Palestina. Vijiji 530 vikateketezwa na Wapalestina 15,000 wakauawa
 
Tatizo hamas wanajificha migongoni
Mwa wapalestina huku wakipigana

Ova
 
Back
Top Bottom