Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Max is good maeneo hayo. Mimi ni kampuni, hivyo getting funding is a challenge!.Mkuu sisi tunakwama wapi? Inatakiwa tuandike proposal za kutosha tupeleke kwa Balozi
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Max is good maeneo hayo. Mimi ni kampuni, hivyo getting funding is a challenge!.Mkuu sisi tunakwama wapi? Inatakiwa tuandike proposal za kutosha tupeleke kwa Balozi
Naiheshimu kama Mama yangu mzazi!Mungu ibariki JF.
Ila wengi unawasingizia pis kali za kuhesabu hapo. Mimi huyo white tu ndiye kanivuta na hiyo rangi yake lakini siyo pis kali kivile! Ni wa kawaida sana! Wanazidiwa hata na akina Madame T na mwenzake Miss Natafuta!Kumbe JF kuna pisi kali namna hii??
Kuna hiyo moja white karibia na Bolozi.red😘😘😘
Huyo ndiye huwa ananisumbua na ban zake! Mpaka najiuliza kama ananitaka si aje tu inbox tuyajenge?Yule moderator mtamu yule paleeee
Nyasi zilikuwepo ndani ya radius ya urefu wa kamba yake, ila ameshazila akazimaliza. Sasa isije ikaonekana kwamba hapakuwa na nyasi kwenye eneo la urefu wa kamba yake
Weka picha yako hapa tukutathimini kwanza mkuuNaomba kazi Jf , hata ya kumlinda Mello
[emoji38][emoji38][emoji38]ASHA D ndio yupi hapo?
Hakuna mtandao wa jamii wowowte unaonufaika kupitia MB zako za internet, zaidi ya ISP Wako mkuu,Hivi Hawa JF wao wananufaikaje kwenye huu mtandao, maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu.
Sitaki muamin et mb ndio faida yao maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
Hivi hapo JF hakuna mapandikizi ya usalama wa taifa kwelii !?? isije kuwa nyeti zetu zipo wazi mbele ya kadamnasiHivi ajira kumbe zipo tu humu.
Ee bana ee, nimeona warembo waliotukuka weupe hadi miguuni.
Mwambieni huyo balozi tunampa hi.
View attachment 2105066
Unataka kunitathimini kwa muonekano...ha ha haWeka picha yako hapa tukutathimini kwanza mkuu
Basi hatutaweka picha zao tenaHao mode wapunguze roho mbaya kidogo