Balozi wa Sweden atembelea Ofisi za JamiiForums

Balozi wa Sweden atembelea Ofisi za JamiiForums

Naiheshimu kama Mama yangu mzazi!
Hivi GoT ilishawahi kuipa JF kama JF tuzo au kuwatambua kwa mchango wao kwa Tanzania kweli!??
"Matendaji" ya GoT yanashinda humu kuchukua "materials" na "points" za kufanyia kazi.
Madudu mengi yanaibuliwa humu.
Ni vyema GoT ikawa na ustaarabu na utaratibu wa kutambua watu au taasisi zinazofanya makubwa katika kimchango wa kuendesha inchi na kuipigisha hatua.
Mbarikiwe Jamii Forum team yote.
Naiheshimu kama Mama yangu mzazi!
 
Hivi GoT ilishawahi kuipa JF kama JF tuzo au kuwatambua kwa mchango wao kwa Tanzania kweli!??
"Matendaji" ya GoT yanashinda humu kuchukua "materials" na "points" za kufanyia kazi.
Madudu mengi yanaibuliwa humu.
Ni vyema GoT ikawa na ustaarabu na utaratibu wa kutambua watu au taasisi zinazofanya makubwa katika kimchango wa kuendesha inchi na kuipigisha hatua.
Mbarikiwe Jamii Forum team yote.
Huwezi ukajua, siyo lazima watangaze. Kwani wewe hadi kufikia kusema hivi, unaionaJamiiForums imekaa kaaje?
 
Back
Top Bottom