We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 815
- 381
Hongera JF..hao wenzetu wa Scandinavian Countries hawanaga longolongo. Kwao kila jambo linaitwa kwa rangi yake halisi!
Pigeni Kazi JF!
Pigeni Kazi JF!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washukuru Platinum MembersHivi Hawa JF wao wananufaikaje kwenye huu mtandao, maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu.
Sitaki muamin et mb ndio faida yao maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
mike mushi nae wapi?ASHA D aliisha graduate Jf, sasa ana NGO yake ya media.
P
Nimemuona Paw hapo, na mod mpiga ban. Noma sana.Hii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana.
Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE.
Mungu ibariki JF
=========
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao
Bongo bhana !Mbona wote wembamba kuna ela kweli jf?
[emoji16][emoji16][emoji16]Mbona wote wembamba kuna ela kweli jf?
MikocheniHivi ofisi zenu ziko wapi? Nataka nije niwatembelee ila hakuna kupigana picha, tafadhali.
Maxence Melo
"Ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa yenyewe"Kwa hiyo JF ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine na sisi ndio wateja wake?
Jf ilivyo na siri usishangae wewe ni mwana ccm.Kufanikiwa kwa JF ndio mafanikio yetu wapenzi wa demokrasia na uhuru wa habari na kujieleza
Mimi hapa mkuu.Hivi moderators wapo hapo kwenye picha ya pamoja? Ninapenda kumjua Active. Ha ha haaaa!
🤣🤣🤣🤣nilaaniwe mimi na uzao wangu kama ni hivyoJf ilivyo na siri usishangae wewe ni mwana ccm.
Kwenye picha ya chini nawaona mods na kwa kuwatazama tu najua anayepigaga watu ban ni nani.Hii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana.
Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE.
Mungu ibariki JF
=========
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao
hivi ndo huyu YEHODAYA tumjuaye au tumeingiliwa?Kilichonifurahisha sana kwenye hizo picha ni huyo balozi na team yote ya Jamii Forums kutovaa barakoa na ku keep social distance
Balozi wa Sweden anajionyesha wazi kuwa yeye ni mtu social mtu wa watu anayeendana na majority ya Watanzania ambao hawaamini kwenye kuvaa barakoa na ku keep social distance na kuamini kuwa Corona ni utapeli tu ndani ya Tanzania.
Tofauti na Rais wetu Samia amvaye kutwa kuvaaa barakoa na ku keep social distance na kuamini kuwa Corona ni tishio kwa Tanzania na kujitofautisha na watanzania walio wengi kwa kuvaa barakoa na ku ji social distance kuwa yeye si social au sehemu ya majority!!! Ni sehemu ya minority!
Mzungu huyo balozi haamini kwenye kuvaa barakoa na social distance mswahili kakomaa Hivi tafsiri ni nini?
Hapo kwenye picha kuna ambao ndo huwa wanafuta thread zetu...aiseeHii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana.
Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE.
Mungu ibariki JF
=========
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao
Kitengo maalum cha ..........Hivi Hawa JF wao wananufaikaje kwenye huu mtandao, maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu.
Sitaki muamin et mb ndio faida yao maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa