Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ndiyo yeye ajae?😀Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Maza anamjengea CV usijeshangaa, ngoja uone na kama ana asili ya visiwani basi "imeisha hiyoo" alisikika KidagaaSamia mwenyewe ndo alomuondoa u CS akateua CS mwingine so sidhani.
Hakuna lolote hapo...umri ushampita, labda Mabele na CS wa sasa.Ndo unataka kusema ndo mrithi
Yeah! Rais hashindwi jambo, anaweza mtumikisha hata kwa mikataba sababu ye anapelekewa majina achague na miungoni mwa majina hayo hili lazima liwemo.Maza anamjengea CV usijeshangaa, ngoja uone na kama ana asili ya visiwani basi "imeisha hiyoo" alisikika Kidagaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwani ni nini mbayaBalozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Mwamba yuko na vyeo lakini Wala hajavimba kakaa kinyoge tu,Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Brother tambua asilimia kubwa mabalozi waliowengi ni makachero kote duniani na werevu na diplomasia ,huyo sio tu ulalame anasifa zake gwanda sio ishu... badala ya kwenda kupiganisha vita anakula viyoyozi na pizza Ulaya! Sijui kwanini hii nchi haiheshimu profesheni za watu.
Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Brother tambua asilimia kubwa mabalozi waliowengi ni makachero kote duniani na werevu na diplomasia ,huyo sio tu ulalame anasifa zake gwanda sio ishu
Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Mabeyo kala u CDF akwa above 54! Na sasa hivi Mabeyo ana 65! Means kala u CDF akiwa na 59! Maana kakaa na u CDF kwa miaka 5! (2017 to 2022 )Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Pascal kuna wakati hua unatoka kabisa kwenye reli,sijui kwa nini! Mabeyo wakati anakuwa CDF alikua above 54! Alikua na 60 kabisa hukoAsante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P