Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Sugu hapo anaonekana kama Tumbiri kakaa na binadam. Kwa mtazamo wa wafaransa kwa Waafrika.
 
Huyu hakumpatia nafasi ya kumtibia bure kwao
 
Man shut your ……huna point yoyote. Kwanza hawakufanya kosa lolote is why hawatoshitakiwa kokote, mbona wahusika hawajajitokeza kukana tuhuma ?

Wapunguze kukurupuka next time, wanawapa wapinzani promo ya bure
Hawaelewi hao bila rungu kila cku wakipigwa raia tuh hawa viongozi hawatajua unchungu wa virungu
 
Wanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
Ongea tu huo upumbavu wewe chawa lkn ujue kwamba dunia ni tambara bovu hata Magufuli alifanya hayo hayo na hata huyu naye atakuja kufika tu kwenye 18 za Mungu siku inakuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…