much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Sugu awe makini na hao mabasha wa ulaya sio salama kwa marinda yakeShetani hana rafiki, zamu ya mamaako ikifika ndio utaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu awe makini na hao mabasha wa ulaya sio salama kwa marinda yakeShetani hana rafiki, zamu ya mamaako ikifika ndio utaelewa
Mtaropoka kila pepo, Wajinga nyie!hivi sugu mtu mfupi kiingereza anakijua?
maana aliishia darasa la saba huyu akaanza muziki wa kufokafoka
au mabalozi hao wanakuja na wakalimani
Masikini wamebakia na Matusi na uchawi tuSugu awe makini na hao mabasha wa ulaya sio salama kwa marinda yake
Sugu si kuwa billionea kwa hisani ya ubunge sema De Tulia kaiharibu biashara yakeWewe njaa kali unaweza kumchangia nini Bilionea Sugu yaani ni sawa kumtaka mbu amchangie binadamu damu. Wewe kanywe viroba vyako ukalale basi.
Nana mabalozi wanambipu mama Samia.Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.
Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)
Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
Hapana nyie ndo masikini maana mkikutana na wazungu ni taarifa ya habariMasikini wamebakia na Matusi na uchawi tu
[emoji1787]Hapana nyie ndo masikini maana mkikutana na wazungu ni taarifa ya habari
tulia chawa suguMtaropoka kila pepo, Wajinga nyie!
Maneno makali dhidi ya binadamu/ubinadamu ni unyama....Sugu hapo anaonekana kama Tumbiri kakaa na binadam. Kwa mtazamo wa wafaransa kwa Waafrika.
Atii sheria za kipumbavu!Wanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
Lazima waumie kwa sababu wanaona kuwa wafuasi wa CHADEMA siyo binadamu kama wao,kumbe kuna jamii nyingine duniani zinawattamini sana CHADEMA,HAPO NDIYO MSHITUKO UNAPOTOKEA.CCM wanaumia na kujuta
Lazima waumie kwa sababu wanaona kuwa wafuasi wa CHADEMA siyo binadamu kama wao,kumbe kuna jamii nyingine duniani zinawattamini sana CHADEMA,HAPO NDIYO MSHITUKO UNAPOTOKEA.CCM wanaumia na kujuta
Bado yupo mahututi?Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.
Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)
Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
Taratibu za kijinga jinga zilishapitwa na wakatiSugu kautaka na chadema yake asa ndio ataandamana kwa kufata taratibu za nchi
Hakika.Lazima taarifa hii imfikie Mama atake asitake.
Eti wana mafuta wakati hawafiki hata robo kwa Libya na Nigeria.Wanasema wana madini wakati hawafiki hata robo kwa Ghana,Botswana na Afrika Kusini.Hapa ndani tu mmeshindwa kuji manage, eti mna mafuta na madini? Unajua nchi ngapi zina similar resources?
Hamna u special wowote huko nje, acheni kujidanganya
Uki ripoti habari kama hizi haina haja ya kujibizana na watu wenye akili zilichonganyika na funza wa ChooniShetani hana rafiki, zamu ya mamaako ikifika ndio utaelewa
Unataka waelewe nini mavi wewe?Hawaelewi hao bila rungu kila cku wakipigwa raia tuh hawa viongozi hawatajua unchungu wa virungu