Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.

Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)

Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
Nana mabalozi wanambipu mama Samia.
Kamanda Awadhi apewe ubalozi Ufaransa.
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.

Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)

Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
Bado yupo mahututi?
 
Hapa ndani tu mmeshindwa kuji manage, eti mna mafuta na madini? Unajua nchi ngapi zina similar resources?
Hamna u special wowote huko nje, acheni kujidanganya
Eti wana mafuta wakati hawafiki hata robo kwa Libya na Nigeria.Wanasema wana madini wakati hawafiki hata robo kwa Ghana,Botswana na Afrika Kusini.
 
Back
Top Bottom