Kwahiyo mkuu inakuaje wafaransa wakubali nchi Yao wawakalishwe na Tumbiri kwenye michezo ya mbalimbali kama mpira wa miguu na kule Olympic?Sugu hapo anaonekana kama Tumbiri kakaa na binadam. Kwa mtazamo wa wafaransa kwa Waafrika.
Wakati mnakosa hoja mjarabu, yaani Mtu mweusi anampiga mtu mweusi mwezie kwako sawa ila mtu mweupe kuja kumjulia hali mtu mweusi kwako siyo sawa. Unashangaza sana.