Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆 Unaambiwa hawaamini Macho yaoCCM hapo wanajamba balaa
Mashetani wale😆😆😆😆 Unaambiwa hawaamini Macho yao
Inauma?Kikongwe usiye na akili hata kidogo
Hii imetia aibu sana....Kupiga Watu BILA SABABU mpaka Dunia inatushangaa.
Laana ya Milele ikuandame wewe na kizazi chako chote, AminaMashoga na wafuasi wao wanajua kuteteana sana, hivi Chadema akili hamna kabisa na kuamini wazungu ndio wanawapenda? Hivi huyo Sugu hata sehemu moja aliyeumia haipo, alafu mnasema kapigwa yuko mahututi? Uongo mtaacha lini nyie Chadema?
Ndiyo maana wamemweka Professor Kabudi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria.CCM hawakawii kusema hawa ma balozi waachane na mambo ya siasa za ndani ya nchi vinginevyo watafurushwa.
Hivi vyama vya upinzani vilivyopo vina watu wanaofaa zaidi kuliko hawa wachumia tumbo wa ccm na hawa wa ccm kwa kuwa wana serikali watu wasiojua wanafikiri kwamba wanafaa japo ni watu hovyo ni hakuna mfano.Wengi wetu tunatamani CCM itoke madarakani Ila sasa chama cha kuchukua hyo Dora ndio Mtihani
Wewe huna lolote na una kila dalili ya uchawa.mkuu me sio chawa me ni mtanzania nayependa amani na siasa safi
chadema chama cha fujoooo always na hatuezi wachekea kisa Uhuru
Apunguze tumbo, ningekuwa mi ni porisi ningehakikisha nachapa mateke fimbo na ngumi hilo likitambiKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.
Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)
Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
Sasa utaona kitakachomtokea mama kwa kukumbatia watumishi wajinga kama Awadh ambao sheria za nchi zimewapita pembeni.Apunguze tumbo, ningekuwa mi ni porisi ningehakikisha nachapa mateke fimbo na ngumi hilo likitambi
Ficha ujinga wako.Hawa Wafaransa waliotolewa mbio na Ibrahim Traore leo ni wema kwa Waafrika?
Huyo hapo yupo kwenye "wagawe uwatawale" na mijinga ya chadomo itamwona anafanya la maana.
Kuna baadhi ya maandiko yako huwa yana busara lkn mengine ni kama ya kuazimwa...Chuki Sumu!Hawa Wafaransa waliotolewa mbio na Ibrahim Traore leo ni wema kwa Waafrika?
Huyo hapo yupo kwenye "wagawe uwatawale" na mijinga ya chadomo itamwona anafanya la maana.
Hakuna kitu hapoSasa utaona kitakachomtokea mama kwa kukumbatia watumishi wajinga kama Awadh ambao sheria za nchi zimewapita pembeni.
Huo wangu ni ukweli mchungu.Kuna baadhi ya maandiko yako huwa yana busara lkn mengine ni kama ya kuazimwa...Chuki Sumu!