Huyo mama angetumia busara kidogo angejua kuwa hii ni movie.
Ya mnywa pombe
Walevi wangapi huwa wanavunjika miguu
Hahahahahahahha[emoji12]Mbowe ameshambuliwa na wahuni kutoka jeshi la polisi na inaonekana wanaungwa mkono na serikali. Nawahakikishieni kuwa hili limetufika shingoni. Tutaonyeshana uanaume hasa! Tukae tayari wajinga nyie.
Kama serikali ndo imemshambulia basi Zitto angekuwa ashashambuliwa siku nyingi tu!
Mungu wabariki WazunguBi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu.
''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be free to represent their constituents without fear of violence, especially as the 2020 election campaign starts. I hope the perpetrators will be identified & held accountable''
My take: Nasisitiza kuwa Mbowe ameshambuliwa na wahuni wanaoiunga mkono serikali ya JPM ambao walikuwa wamebeba silaha ya SMG na upo uwezekano mkubwa wametokea jeshi la POLICE!
Unamjua Zitto vizuri, alitamka wazi ukimfuata kwake utakuta ziwa TanganyikaKama serikali ndo imemshambulia basi Zitto angekuwa ashashambuliwa siku nyingi tu!
Mbowe ameshambuliwa na wahuni kutoka jeshi la polisi na inaonekana wanaungwa mkono na serikali. Nawahakikishieni kuwa hili limetufika shingoni. Tutaonyeshana uanaume hasa! Tukae tayari wajinga nyie.
Kama alikuwa amelewa madaktari watasema.
Lazima tulipize aisee...lazima
Arudi kwao huyo barozi akapambane na covid.kimbelembele tu kama wa buza.anakera kama nini.
Kwakweli mkuu sasa ni bora tuone mwanaume hasa ni nani. Lazima na wao waone gharama ya kuwapoteza ama kujeruhiwa viongozi wao. Hatuwezi kuendelea hivi kisha tukajiita sisi ni nchi! Kamwe hatuwezi!
Kwani Zitto ni mpinzani
Kinachonisikitisha siku hizi wasemaji wa taaluma ya udaktari wamegeuka kuwa wanasiasa [emoji58]
Achana na mlevi huyo mshaurini pia aache kuhangaika na wanawake ameshazeeka huyo!Bi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu.
''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be free to represent their constituents without fear of violence, especially as the 2020 election campaign starts. I hope the perpetrators will be identified & held accountable''
My take: Nasisitiza kuwa Mbowe ameshambuliwa na wahuni wanaoiunga mkono serikali ya JPM ambao walikuwa wamebeba silaha ya SMG na upo uwezekano mkubwa wametokea jeshi la POLICE!
Lijulalikali amesema Mbowe alikuwa kapiga pombe zimemjaa kichwani
Mabeberu bhana yaani kijana wao kalewa mwenyewe kaanguka mwenyewe wanamtafuta mchawi
Mtaumbuliwa na Lijuakali nyie!Bi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu.
''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be free to represent their constituents without fear of violence, especially as the 2020 election campaign starts. I hope the perpetrators will be identified & held accountable''
My take: Nasisitiza kuwa Mbowe ameshambuliwa na wahuni wanaoiunga mkono serikali ya JPM ambao walikuwa wamebeba silaha ya SMG na upo uwezekano mkubwa wametokea jeshi la POLICE!
Kwa hiyo zitto ni zaidi ya mbowe?