Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

Mbowe ameshambuliwa na wahuni kutoka jeshi la polisi na inaonekana wanaungwa mkono na serikali. Nawahakikishieni kuwa hili limetufika shingoni. Tutaonyeshana uanaume hasa! Tukae tayari wajinga nyie.
Hahahahahahahha[emoji12]
 
Mungu wabariki Wazungu
 
Kinacho waponza hao wanaojiona ni mitume ni kuendelea kuamini kuwa watanzania bado ni watu wa kuisikiliza tiibiisiii
Mbowe ameshambuliwa na wahuni kutoka jeshi la polisi na inaonekana wanaungwa mkono na serikali. Nawahakikishieni kuwa hili limetufika shingoni. Tutaonyeshana uanaume hasa! Tukae tayari wajinga nyie.
 
mama nyamaza usije ukapewa masaa 24 kufunga vilivyo vyako.

Hawasemwi hawa!!
 
Jaribuni kumgusa kwa maneno yenu ya shobo muone cha mtema kuni
Arudi kwao huyo barozi akapambane na covid.kimbelembele tu kama wa buza.anakera kama nini.
 
Sisi ni kisiwa cha amani
Kwakweli mkuu sasa ni bora tuone mwanaume hasa ni nani. Lazima na wao waone gharama ya kuwapoteza ama kujeruhiwa viongozi wao. Hatuwezi kuendelea hivi kisha tukajiita sisi ni nchi! Kamwe hatuwezi!
 
Achana na mlevi huyo mshaurini pia aache kuhangaika na wanawake ameshazeeka huyo!
 
Mtaumbuliwa na Lijuakali nyie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…