Watu walioshindwa kufanya uchunguzi wa tukio la Lissu wakati lilifanyika mchana kweupe,Leo wanawezaje kufanya uchunguzi wa tukio la Mbowe(mad)Na huo uchunguzi unafanyika na nani??
Taifa la wajinga na makanjanja
Hiyo ni pombe aina ya K-VANT, watu gani wanakushambulia huonyeshi ngeu au alikumbana na makomandoo!Hutaki aingilie wakati kila wakati unapokea misaada na mikopo yake? Ina maana Mbowe ni mjinga mpaka ajisingizie kupigwa wakati kaumia mwenyewe?
Msitumie nguvu nyingi kuzima hili jambo wakati utasema
Mkuu Hiki kitu kikubwa huwa mnakisema kila Mara lakini hakitokei kwanini? Tanzania ni nchi huru nyie endeleeni kusubiri kitu kikubwa kutokeaNa wewe umekuwa mstari wa mbele kwenye masuala gani?
Muroto ile asubuhi alisemaje kwani? Kwa Ndugai na mkwewe Lijuakali pamoja na Msukuma wanageuka kuwa Polisi?
Hili tukio kuna kitu kikubwa kinaenda kutokea ambacho hakitegemewi na hii ni spining yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe alikuwa NYAGI kadondoka sasa anaficha aibu kwa kusingizia kavamiwa, unavamiwa unapigwa halafu miwani inabakia mizima....!!!!!Hutaki aingilie wakati kila wakati unapokea misaada na mikopo yake? Ina maana Mbowe ni mjinga mpaka ajisingizie kupigwa wakati kaumia mwenyewe?
Msitumie nguvu nyingi kuzima hili jambo wakati utasema
Mbowe ana walinzi , dereva eti apigwe na watu wasio na silaha naona mnatania watu nyie tafadhali msitufanye majuha.Jibu swahili hili: Wakati Mbowe anapigwa walinzi wake walikuwa wapi?
Kwani lazima uandike kiingereza. Unawaletea ukakasi na kuwatoa kwenye hoja wabobezi wa hii lugha.Mwambie George floyd amezikwa kwanza au anareta domo tu. Huko Marekani kumewaka taa bango liko kubwa sana mbona ajiongeleshi. Au huyu mbowe yeye alitoka naye moshi? Unataka aongelee kwake hizo mambo zao nini kinamuwasha au ndio tayari kashapata yutiyai ya kwa hisani ya mpalange. I thought this woman she is hopeless who needed to get advices. Why she always talk nonsenses without evidence