Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

Farujohn haijamwacha salama mtu.kucha kutwa pombe na wanawake.chadema mnatia aibu
 
Mambo ya kujitakia hayo,mtu apige mipombe yake ahangaishe watu.
 

Attachments

  • Screenshot_20200609-220305.png
    Screenshot_20200609-220305.png
    111.2 KB · Views: 1
Uliwaona? Si ukatoe ushahidi Polisi?
Bi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu.

''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be free to represent their constituents without fear of violence, especially as the 2020 election campaign starts. I hope the perpetrators will be identified & held accountable''


My take: Nasisitiza kuwa Mbowe ameshambuliwa na wahuni wanaoiunga mkono serikali ya JPM ambao walikuwa wamebeba silaha ya SMG na upo uwezekano mkubwa wametokea jeshi la POLICE!
 
Huyu mwanamke amekuwa mstari wa mbele kuishutumu serikali yetu katika mambo ambayo hana uhakika nayo na kuleta taharuki juu ya nchi yetu.

Amevunja mkataba, kanuni na universal convention ya kutoingilia mambo ya ndani ya nchi anayoiwakilisha.

Katika tukio la Mbowe, ikitokea ripoti ikaonyesha Mh. Mbowe hakushambuliwa bali ni ajali ya kawaida, napendekeza balozi huyu afukuzwe nchini ndani ya 24 hours.
 
Na huo uchunguzi unafanyika na nani??

Taifa la wajinga na makanjanja
Watanzania tuna akili zetu ndiyo maana tunaishi maisha yetu na siyo maisha ya wamarekani. Mnajaribu sana kuilazimisha nchi ionekane ina vurugu wakati kuna utulivu.

Mbona huyo balozi hajasema chochote kuhusu mauaji ya floyd? Mguu wa mbowe ni neno sana kuliko kifo cha floyd. Waafrika wa Tanzania tumerogwa na nani? Kudharau nchi yetu na watu wake na kusifu hata mabaya ya weupe?

Watanzania siyo wajinga. JIHESHIMU UHESHIMIWE.
 
Mwambie George floyd amezikwa kwanza au anareta domo tu. Huko Marekani kumewaka taa bango liko kubwa sana mbona ajiongeleshi, au huyu Mbowe yeye alitoka naye moshi?

Tunataka aongelee kwake hizo mambo zao nini kinamuwasha au ndio tayari kashapata yutiyai ya kwa hisani ya mpalange I thoughts this woman she is hopeless who needed to get advices. Why she always talk nonsenses without evidence
 
Back
Top Bottom