EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kama hujui kaa kwa kutulia, unadhani PUTIN mjinga kuingia UkreinHivi mnaoshabikia, hebu nipeni sababu moja ya msingi ya kufurahia yanayoendelea Ukraine? Kwa sababu yoyote ile, Russia haina sababu ya msingi ya kuisambaratisha Ukraine na kuua raia wengi namna hiyo eti kuonyesha nguvu zake. Hata akishinda hii vita, atamtawala nani na nchi gani, ambapo kila kitu kitakuwa chini. Pia wanajeshi kibao wa urusi wamepoteza maisha, nyie mnashangilia tu! Shame!
Hao ni wale wanaoendeshwa na chuki za kidini kwani kwao popote pale anapounga mkono Marekani wao watapinga tu kwa kile wanachoona kwamba ni Marekani kuzuia mpango wao wa "Global Jihad Mission" iliyopelekea kuundwa kwa vikundi kadhaa vya kigaidi ili kukidhi hilo lengo.Hivi mnaoshabikia, hebu nipeni sababu moja ya msingi ya kufurahia yanayoendelea Ukraine? Kwa sababu yoyote ile, Russia haina sababu ya msingi ya kuisambaratisha Ukraine na kuua raia wengi namna hiyo eti kuonyesha nguvu zake. Hata akishinda hii vita, atamtawala nani na nchi gani, ambapo kila kitu kitakuwa chini. Pia wanajeshi kibao wa urusi wamepoteza maisha, nyie mnashangilia tu! Shame!
Nenda ukawatoe weweHivi Kuna utaratibu gani wa kufukuza nchi kwenye umoja wa Mataifa hawa Russia inabidi waondoshwe
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji116][emoji116]Hivi mnaoshabikia, hebu nipeni sababu moja ya msingi ya kufurahia yanayoendelea Ukraine? Kwa sababu yoyote ile, Russia haina sababu ya msingi ya kuisambaratisha Ukraine na kuua raia wengi namna hiyo eti kuonyesha nguvu zake. Hata akishinda hii vita, atamtawala nani na nchi gani, ambapo kila kitu kitakuwa chini. Pia wanajeshi kibao wa urusi wamepoteza maisha, nyie mnashangilia tu! Shame!
Kwakuwa wewe ni kichaaa kama PutinHata ningekua mimi ningetoka nje
[emoji38][emoji38][emoji38] Kaa Kwa kutulia , nyie sindio Huwa mnaambiana humu kuwa USA ni super power Russia hana kitu na hakuna madhara yoyote atakavyo letaChakula cha Ukraine hasa ngano na pia mbolea nyingi asilimia kubwa zinauzwa Asia na Africa,sasa kwa akili yako ndogo ndio utaelewa nani anaeumia.
[emoji38]Kwani wamekatazwa kulima?
[emoji38][emoji38][emoji38]Un ni wanafiki wakubwa,
Urusi zidisha makali,
Sie huku tutachemsha casava tu hakuna shida
Hiii hiiii [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hao ni
Hao ni wale wanaoendeshwa na chuki za kidini kwani kwao popote pale anapounga mkono Marekani wao watapinga tu kwa kile wanachoona kwamba ni Marekani kuzuia mpango wao wa "Global Jihad Mission" iliyopelekea kuundwa kwa vikundi kadhaa vya kigaidi ili kukidhi hilo lengo.
Wao leo hii hata Tanzania ikosane na Kenya halafu Marekani iwe upande wa Tanzania hao jihadists moja kwa moja watakuwa upande wa Kenya bila hata kujali uzalendo.
Leo hii watu wenye imani sawa na wao wananyanyaswa vibaya huko China na India pia tumesikia lakini hutawasikia katu wakilaumu China au India lkn ingekuwa Marekani, Israel au Uingereza hadi server ya huu mtandao ingepasuka kwa maoni yao ya kulaani na wangetangaza (Fatwa) kabisa.
Wewe ni nani mpaka useme Russia haina sababu ya kuishambulia ukraine? Unahisi putin kaamka tu na kutoa amri kwamba Russia ianze uvamizi? Nenda kafanye utafiti ujue sababuHivi mnaoshabikia, hebu nipeni sababu moja ya msingi ya kufurahia yanayoendelea Ukraine? Kwa sababu yoyote ile, Russia haina sababu ya msingi ya kuisambaratisha Ukraine na kuua raia wengi namna hiyo eti kuonyesha nguvu zake. Hata akishinda hii vita, atamtawala nani na nchi gani, ambapo kila kitu kitakuwa chini. Pia wanajeshi kibao wa urusi wamepoteza maisha, nyie mnashangilia tu! Shame!
[emoji38][emoji38][emoji38]hiyo clip Ipo ! ?Putin anatumia magazijuto fomyula,njaa ndio silaha kubwa kwenye Vita wale jamaa walijificha shimoni kwenye kiwanda waliibuka wenyewe shimoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaelia jiwe limempataChakula cha Ukraine hasa ngano na pia mbolea nyingi asilimia kubwa zinauzwa Asia na Africa,sasa kwa akili yako ndogo ndio utaelewa nani anaeumia.
Kwa hiyo uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo kuamini kila anayeiunga mkono Russia ni mtu wa dini flani?Hao ni
Hao ni wale wanaoendeshwa na chuki za kidini kwani kwao popote pale anapounga mkono Marekani wao watapinga tu kwa kile wanachoona kwamba ni Marekani kuzuia mpango wao wa "Global Jihad Mission" iliyopelekea kuundwa kwa vikundi kadhaa vya kigaidi ili kukidhi hilo lengo.
Wao leo hii hata Tanzania ikosane na Kenya halafu Marekani iwe upande wa Tanzania hao jihadists moja kwa moja watakuwa upande wa Kenya bila hata kujali uzalendo.
Leo hii watu wenye imani sawa na wao wananyanyaswa vibaya huko China na India pia tumesikia lakini hutawasikia katu wakilaumu China au India lkn ingekuwa Marekani, Israel au Uingereza hadi server ya huu mtandao ingepasuka kwa maoni yao ya kulaani na wangetangaza (Fatwa) kabisa.
KabisaPutin aongeze dozi ili waheshimiane
USA wakileta chakula Africa litakuwa janga lingine kwa Africa, akili zitadumaa sana, unaona vijana wengi waliokula mburuga akili zao ziko alijojo[emoji38][emoji38][emoji38] Kaa Kwa kutulia , nyie sindio Huwa mnaambiana humu kuwa USA ni super power Russia hana kitu na hakuna madhara yoyote atakavyo leta
Africa itadhurika vipi Sasa wakati boss wenu USA yupo atatupatia msaada
Umeskia wapi umoja wa Africa au Asia wakilalamika njaa?Chakula cha Ukraine hasa ngano na pia mbolea nyingi asilimia kubwa zinauzwa Asia na Africa,sasa kwa akili yako ndogo ndio utaelewa nani anaeumia.
Mzee wao anawageuka Tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiii hiiii [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2253488