joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
"vinasambaa kupitia 'human-human contact......."Inaitwa curfew sio lockdown. Kituko ni wewe na uelewa wako finyu. Virusi vya Corona huwa vinasambaa kupitia 'human-human contact' yaani lazima binadamu ahusike, sio kama sisimizi au umande, acha ushamba. Kinachozuiwa ni watu kutumia mwanya wa giza kukiuka maagizo ya wataalamu. Hizi ndio nchi ambazo zina curfew pia, nchi kama Saudia, Argentina, Algeria n.k. kuna hadi nchi ambazo zina curfew ya saa saba usiku hadi saa kumi, masaa matatu tu. Countries with coronavirus curfews: Saudi Arabia joins growing list
Kwa hiyo kuanzia saa 10 alfajiri mpaka saa 3usiku kunakuwa hakuna human contact.........😀😀😀😀😀😀😀