Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

Inaitwa curfew sio lockdown. Kituko ni wewe na uelewa wako finyu. Virusi vya Corona huwa vinasambaa kupitia 'human-human contact' yaani lazima binadamu ahusike, sio kama sisimizi au umande, acha ushamba. Kinachozuiwa ni watu kutumia mwanya wa giza kukiuka maagizo ya wataalamu. Hizi ndio nchi ambazo zina curfew pia, nchi kama Saudia, Argentina, Algeria n.k. kuna hadi nchi ambazo zina curfew ya saa saba usiku hadi saa kumi, masaa matatu tu. Countries with coronavirus curfews: Saudi Arabia joins growing list
Haya maambukizi ya nataka usiku tu, ndo maana mkaweka curfew? Vipi mchana hakuna human to human contacts?
 
Sasa ni muda gani huwa na misongamano ya watu masokoni, viwandani, stands, etc kati ya mchana na huo muda wenu wa curfew?

Mnasikitisha
Kwhyo hyo misongamano ndio ile uliysoikia sio ya kilazima sio..
Na unapolazimika kwenda katika hyo mikusanyiko unashauriwa uvae barakoa..thats y jamaa wameweka curfew kuepusha mikusanyiko isiyokua ya kilazima.
Alafu mbona unalazimisha km corona ipo wakati bongo imeshapotea kitambo
 

President Uhuru Kenyatta on Saturday announced that the total number of COVID-19 cases in Kenya rose to 2,600 after 126 more patients tested positive.

President Kenyatta, addressing the nation at State House in Nairobi, said the fatalities had also increased to 83 after 4 patients died from the disease.

Due to the rising number of infections and fatalities, the Head of State said, the government found it impractical to relax the restrictions currently in force aimed at combating the spread of the disease.

According to the Head of State, the COVID-19 situation in Kenya does not meet a list of three thresholds for relaxation as advised by health professionals and public practitioners.

“The irreducible minimum for lifting restrictions has three thresholds; One, to open up, the infections must be contained and the number of infections and deaths must be headed downwards. This is currently not the case in our country,” he said.

“Our healthcare system must be prepared sufficiently to take on a surge in infections. It must not be overwhelmed at any one point during this pandemic. Access to testing, isolation and quarantine must be a bare minimum in our health facilities. This is not the case currently.”

He further added: “The capacity for surveillance and contact tracing must also be fully in place across the country.”

Hence, President Kenyatta said, the ban on all forms of gatherings – including but not limited to political gatherings, social gatherings and bars – has been extended for a further 30 days.

He also noted that “due to the evolving nature of the disease globally, international travel restrictions are hereby extended.”

Source: Citizentv.co.ke
mganga mkuu Tanzania amenena....
1591665399722.png
 
Back
Top Bottom