Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

Kwa hiyo Lockdown hamna Tajiri Mrembo bali usanii?
[emoji23][emoji23]
Tena unacheka baada ya kuandika vitu usivyovifahamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Maskini 7,4,2,3..
Yani hta mfumo wenu wa elimu huujui[emoji23][emoji23][emoji23]wacha nikusaidie...
Angalia juu[emoji115][emoji115]

Siwezi kulaumu ni mfumo wenu wa elimu..
Elimu ya part one na part two only in tanzania[emoji23][emoji23]
 
Km ungelimskiza rais uhuru kenyatta wala usingelikua hapa. Watu wa vijiweni wanatabu sana.
Km mtu kasoma miaka saba kw kiswahili halafu mbele mbele anajeuziwa gear hewani na kuanza kukariri Kingereza.

Matokea yake, vilaza
 
Tena unacheka baada ya kuandika vitu usivyovifahamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Maskini 7,4,2,3..
Yani hta mfumo wenu wa elimu huujui[emoji23][emoji23][emoji23]wacha nikusaidie...
Angalia juu[emoji115][emoji115]

Siwezi kulaumu ni mfumo wenu wa elimu..
Elimu ya part one na part two only in tanzania[emoji23][emoji23]
Mimi mfumo siujui nachojua alicho tueleza rais wako kupitia maexpert wake kwamba saa 3 usiku mpaka saa 10alfajiri corona virus ndio wanashambulia ila baada mida hiyo huwa wanalala.

Kwa style hii kweli naamini nyie Kenya kiboko kwani mna mfumo mzuri wa elimu kuliko inchi zote EA.

😀😀😀😀😀😀😀
 
Mimi mfumo siujui nachojua alicho tueleza rais wako kupitia maexpert wake kwamba saa 3 usiku mpaka saa 10alfajiri corona virus ndio wanashambulia ila baada mida hiyo huwa wanalala.

Kwa style hii kweli naamini nyie Kenya kiboko kwani mna mfumo mzuri wa elimu kuliko inchi zote EA.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kilazaaaa[emoji23][emoji23]
Utaelewaje statement za watu km uhuru wakati we mwnywe ulipitia mfumo wa part one na part two shule[emoji23][emoji23]
 
Kilazaaaa[emoji23][emoji23]
Utaelewaje statement za watu km uhuru wakati we mwnywe ulipitia mfumo wa part one na part two shule[emoji23][emoji23]
Kweli Kabisa hata mimi mwenyewe naona siwezi kukuelewa, ila hiyo lockdown ya saa 3usiku mpaka saa 10alfajiri Uhuru na Maexperts wenu walitisha,manake inaoneka wanajua mpaka ratiba za siku za Corona virus.

😂😂😂😂😂😂😂😂

Haya maigizo sijui yataisha lini

Hii ni comedy kabisa yani daahh. Kweli mfumo wenu kiboko,sisi hatu ukaribii hata kidogo.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila angalieni mwisho wa siku mnaweza mkajikuta mnahesabu makuti baada ya kuhesabu nazi.
 
Km ungelimskiza rais uhuru kenyatta wala usingelikua hapa.
Watu wa vijiweni wanatabu sana..
Km mtu kasoma miaka saba kw kiswahili halafu mbele mbele anajeuziwa gear hewani na kuanza kukariri Kingereza.
Matokea yake, vilaza.
Acha tu, hawa ni wale ambao walienda shuleni kuvunja madirisha na kuiba miwa.
 
Kweli Kabisa hata mimi mwenyewe naona siwezi kukuelewa, ila hiyo lockdown ya saa 3usiku mpaka saa 10alfajiri Uhuru na Maexperts wenu walitisha,manake inaoneka wanajua mpaka ratiba za siku za Corona virus.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya maigizo sijui yataisha lini

Hii ni comedy kabisa yani daahh. Kweli mfumo wenu kiboko,sisi hatu ukaribii hata kidogo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila angalieni mwisho wa siku mnaweza mkajikuta mnahesabu makuti baada ya kuhesabu nazi.
Kilaza wa kwaida siwezi bishana naye, endelea kuongelea terms usizozijua
 
Acha tu, hawa ni wale ambao walienda shuleni kuvunja madirisha na kuiba miwa.
Nimeamua kumuachia ulimwengu[emoji23][emoji23]
Manake kasema aliangalia speech ya uhuru halafu hku anaandika ushuzi tu..

Mnenguaji huyo muangalie hvo hvo
 
Kweli Kabisa hata mimi mwenyewe naona siwezi kukuelewa, ila hiyo lockdown ya saa 3usiku mpaka saa 10alfajiri Uhuru na Maexperts wenu walitisha,manake inaoneka wanajua mpaka ratiba za siku za Corona virus.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya maigizo sijui yataisha lini

Hii ni comedy kabisa yani daahh. Kweli mfumo wenu kiboko,sisi hatu ukaribii hata kidogo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila angalieni mwisho wa siku mnaweza mkajikuta mnahesabu makuti baada ya kuhesabu nazi.
Algeria "wametuiga pia"[emoji23][emoji23]endelea kunengua tu ndio wajua we kada wa CCM
 


Ukisoma comments wakenya wamechefuliwa. Haya ndio yangetokea huku TZ pia, kwa wale waliokua wanalilia hatua kama za Kenya.

Pitia comments uone watu wanavyolalamika japo awali walimkebehi Magu.
 
Huu ni wakati mwafaka kwa Tz kuipiku Kenya Kiuchumi...Hamko lockdown mnachapa kazi usiku na mchana "hapa kazi tu"
Kuwapiku mara ngapi sasa!!..kenya hakuna uchumi wa kutusumbua labda gdp
 
Algeria "wametuiga pia"[emoji23][emoji23]endelea kunengua tu ndio wajua we kada wa ccm
Algeria wamewaiga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Akili za kibongo hzo[emoji1787][emoji1787]ushazoea kuamka na kwenda maskani na kumalizia siku yako hko km kawaida yako
Kabla ya kucheka uwe unapiga mswaki wakenya kwa uchafu !!! Slum mentality
 
Inaitwa curfew sio lockdown. Kituko ni wewe na uelewa wako finyu. Virusi vya Corona huwa vinasambaa kupitia 'human-human contact' yaani lazima binadamu ahusike, sio kama sisimizi au umande, acha ushamba. Kinachozuiwa ni watu kutumia mwanya wa giza kukiuka maagizo ya wataalamu. Hizi ndio nchi ambazo zina curfew pia, nchi kama Saudia, Argentina, Algeria n.k. kuna hadi nchi ambazo zina curfew ya saa saba usiku hadi saa kumi, masaa matatu tu. Countries with coronavirus curfews: Saudi Arabia joins growing list
Sasa ni muda gani huwa na misongamano ya watu masokoni, viwandani, stands, etc kati ya mchana na huo muda wenu wa curfew?

Mnasikitisha
 
Tena unacheka baada ya kuandika vitu usivyovifahamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Maskini 7,4,2,3..
Yani hta mfumo wenu wa elimu huujui[emoji23][emoji23][emoji23]wacha nikusaidie...
Angalia juu[emoji115][emoji115]

Siwezi kulaumu ni mfumo wenu wa elimu..
Elimu ya part one na part two only in tanzania[emoji23][emoji23]
Akitoka hapo ni teenager expert mwenye miaka 24
 
Back
Top Bottom