Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Hii inaitwa Super Riba,piga dili kwa wajinga.
Maaana nchi maskini siku zote ndio wajanja wanakuja kupiga pesa.
Ukisema wanakuambia kwamba wao ndio wakombozi wa umaskini na wamekuja kuondoa umaskini.
Hahahaha,
Hi bwana Kulyunga.
Mi ni mtumishi wa banc ABC nmejisikia vibaya sana baada ya kusoma taarifa yako lakini ninajukumu lakuhakikisha unaiona bank yetu kama sio yakitapeli wala namna yeyote ile mbaya kwa jamii. Nahisi kutakuwa na tatizo la mawasiliano kati ya ww mteja afisa wa mikopo aliekujazia fomu na watu wa makao makuu. Nakuhaidi kukushugulikia na upate taarifa sahihi juu ya mkopo wako siku ya jumatatu. Chakufanya naomba nitumie majina yako matatu na check number yako. No yangu 0717696744. Tunaomba utusamehe kwa changamoto zote zilizotokea wakati wa mkopo wako.
Mi npo makao makuu DSM kama na yeye yupo hapa afike ofisin kwetu apate taarifa sahihi ila kama yupo mkoani nimeona no njia sahihi yakumpatia taarifa moja kwa moja.
Hi bwana Kulyunga.
Mi ni mtumishi wa banc ABC nmejisikia vibaya sana baada ya kusoma taarifa yako lakini ninajukumu lakuhakikisha unaiona bank yetu kama sio yakitapeli wala namna yeyote ile mbaya kwa jamii. Nahisi kutakuwa na tatizo la mawasiliano kati ya ww mteja afisa wa mikopo aliekujazia fomu na watu wa makao makuu. Nakuhaidi kukushugulikia na upate taarifa sahihi juu ya mkopo wako siku ya jumatatu. Chakufanya naomba nitumie majina yako matatu na check number yako. No yangu 0717696744. Tunaomba utusamehe kwa changamoto zote zilizotokea wakati wa mkopo wako.
Usitoe number za siri, au utambuliasho wako wowote ule kupitia njia ya mtandao. Ogopa matapeli...
Kiongozi wangu kila mtumishi anakitengo chake so kwa kitengo changu mi nadili mikopo kwa watumishi wa serikali. Majina ya abc hotel na back yametokea kufanana tuu lakini havina uhusiano wowote katika umiliki
Na inaonekana anaitwa william mkumbo ni nibrahisi kulitumia jina na Namba mfananoUsitoe number za siri, au utambuliasho wako wowote ule kupitia njia ya mtandao. Ogopa matapeli...
habari wadau wa JF? Mimi ni member mzuri wa jukwaa hili kwa kusoma na kupata mawazo mbalimbali ambayo kwa namna moja au nyingine yananisaidia kama mjasiriamali mdogo kwa kiasi kikubwa.
Mbali na kuwa mjasiriamali lakini pia Mimi ni mtumishi wa umma katika kusukuma gurudumu hili la maisha ya kila siku.
Katika harakati zangu za mihangaiko niliomba mkopo wa mtumishi kutoka banc ABC ili inisaidie katika shughuli zangu mnamo November 06, na niliahidiwa kupata mkopo wangu baada ya Siku NNE hadi saba toka Siku ya maombi ya mkopo.. kinyume chake ni kwamba hadi Leo hii tar 24 nwezi DEC sijapata mkopo huo kama nilivyoahidiwa halafu kibaya makato ya mkopo yameshaanzwa kukatwa katika mshahara wangu.
nunefanya mawasiliano na afisa mikopo katika tawi nililoomva mkopo kanipa namba ya makao makuu lakini hakuna jibu la maana wanalonipa imefika hatua wote hawapokei simu yangu. Nimeanza kuhisi labda hawa watu ni matapeli au nimetapeliwa kwa namna Fulani..
kama kuna yeyote ana experience ya hawa jamaa hebu anijuze na mwenye kujua nifanye nini nipate haki yangu tafadhali nisaidieni jamani.
Wamejipotezea credibility yao tayari. Kwenye kipindi hiki cha utandawazi ukimfanyia mteja kitu kidogo tu taarifa zinasambaa mara moja na kupoteza wateja. Review kutoka kwa wateja zinaongea sana kuliko kujitangaza.
Sijui ninani atakayewaamini kwa yanayosemwa huko. Watu wengi wanaofungua account au kuchukua mikopo mikubwa ya biashara huwa wanaangalia credibility ya bank kwanza.
Hawa watu wajirekebishe otherwise wataishia kufunga biashara watakapokosa wateja kabisa.
Naomba pia utujibu maswali yetu
owner wa bank hii ni kina nani?
pale kariakoo kwenye tawi lenu kuna ABC hotel na ABC kitu gani sijui
ni kampuni moja?
zile pesa za Obama alizowapa muwakopeshe wajasiriamali..zilienda wapi?
Ni vema Watanzania tukaanza kuzitumia mahakama zetu ipasavyo! Tuache kulalamikia mitandaoni!
NB: peleka mahakamani hao!
Aissee kweli Ukistaajabu ya Advance Bank utayaona ya ABC Bank.
Hivi vi bank Waziri mpya avifuatilie,aisee kuna utendaji wa kihuni sijawahi kuona.
Sijui nani anavibeba.Maana haya BOT wanajua na dawati lao ukiwaandikia wanakuimbisha vile vile,sijui mpaka malalamiko yako yafike mwezi naa sijui miezi ndio wao wakusaidie.
Ujanja mwingiii,sasa wale wasiojua ndio wanapigwa vibaya,maafisa wa vibank hivi wengi wasanii kupita maelezo,full ujanja ujanja,maneno mengiiiii,sometimes mikwala kwa wale wasio na ufaham
Jina zuri ila waswahili na utapeli mwingi.
Kusanya nyaraka muhimu nenda kawafungulie kesi mahakamani.
Wakulipe fidia si chini ya 50M.