Ni vema Watanzania tukaanza kuzitumia mahakama zetu ipasavyo! Tuache kulalamikia mitandaoni!
NB: peleka mahakamani hao!
Share za wakubwa mkuu.,
Kabla ya kwenda Mahakamani kuna kitengo BOT cha kushughulikia matatizo baina ya mteja na bank husika,ila wao nao ndio yale yale ya Magufuli kuwaotea.Watakuambia kwamba kwanza waandikie Bank yako barua ya malalamiko,hahaha,then ikipta zaidi ya mwezi hujashughulikiwa ndio wao uwajulishe.
Cha kuchekesha sasa,ukiwaandikia BOT kwamba muda mliosema umeisha,wanakuambia Banki yako imekujibu,unakuta Bank hizi ndogo zenye matatizo haya nao wanajua kucheza na akili za Kitengo hiki cha BOT,ukipeleka barua wanakuji tunaishughulikia,ikikaribia muda wanakurusha kutoka hatua moja kwenda nyingine ili wakuzingue.
Ukirudia BOT unaambiwa tunayo copy na tatizo lako Bank husika inalishughulikia,inaweza kufika hadi mwaka halijatatulia,so BOT sio siri hawana msaada wowote kwa wateja wadogo wenye kufanyiwa uonevu na hizi Banks.
Kuna madudu kibaooooo,maofisa mikopo ndio usisemeee.
Hapa issue ni Waziri wa fedha kutoa Tangazo kwenye vyombo vya habari ili wananchi wachangie na watoe maoni yao juu ya utendaji wa hivi vi bank,aisee yaani kuna vingine vitaumbuka.
Kwa ufupi matatizo ya Kibank kwa mfumo huo sio bahati mbaya,ila ni makusudi.
Yaani mtu unaweza kwenda pale bank na wanatabia ya kukariri sura,basi ukifika tu kila mmoja anakubadilikia.
Mie walinipa kali kuna siku mtu alikuwa na matatizo basi waliona anawazingua muda mwingi,Pale advance Bank wakampambanisha mteja na jamaa eti Ni senior staff,tena mswahili ila alikuwa anapiga English tupuu,halafu secretary anatafsiri,sasa kumbe yule mama kiingereza kimo ila akajifanya kachokaa hajui kitu.Na kusema kwamba yule ni mswahili ila wanataka kujifanya wananipagia staffs wapya kila siku ili kuy buy time.