Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Hello jf mabibi na mabwana natumai ni wazima wa afya baada ya wikiendi.
Ndugu mwanajamii baada ya kuomba ushauri hapa jukwaaa la ujasiriamali, nimeamua kwa ridhaa yangu kuwa mfugaji wa kuku wa kienyeji tiyari nimenunua jogoo(5) na makoo(12) .
Naombeni mnipe ramani ya kuweza kuwalea ktk banda ikizingatiwa baada ya muda mfupi watasaliana kwa wingi.
Muhimu zaidi na banda la vifaranga ambavyo havilelewi na mama yao.
Up dates--------------Baada ya kuandaa banda sasa nimewaleta kuku 25,
kazi hii si rahisi kwani kuku hawa wote ni wakubwa kwani wanapigana nitawaletea kila kinachojiri katika huu mradi,
-----------------------------
Kuku wameanza kutaga muda mchache baada ya kuwaweka kwenye banda, Haikupita wiki (2)Kuku wakaanza kutaga,Lakini kinachonishangaza kuna siku inapita sipati Mayai, Hii imekaaje.
Ndugu mwanajamii baada ya kuomba ushauri hapa jukwaaa la ujasiriamali, nimeamua kwa ridhaa yangu kuwa mfugaji wa kuku wa kienyeji tiyari nimenunua jogoo(5) na makoo(12) .
Naombeni mnipe ramani ya kuweza kuwalea ktk banda ikizingatiwa baada ya muda mfupi watasaliana kwa wingi.
Muhimu zaidi na banda la vifaranga ambavyo havilelewi na mama yao.
Up dates--------------Baada ya kuandaa banda sasa nimewaleta kuku 25,
kazi hii si rahisi kwani kuku hawa wote ni wakubwa kwani wanapigana nitawaletea kila kinachojiri katika huu mradi,
-----------------------------
Kuku wameanza kutaga muda mchache baada ya kuwaweka kwenye banda, Haikupita wiki (2)Kuku wakaanza kutaga,Lakini kinachonishangaza kuna siku inapita sipati Mayai, Hii imekaaje.