Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Duh yaani hadi najiskia raha, safi sana Mpwa
Inategemea na materials utakazotumia. Mimi hutembelea sana site kubwa za ujenzi nako hupata mabati na mbao zilizotumika. Kifupi utahitaji bati 14; mirunda (au mikenge ndio imara zaidi) kama 40; Mabanzi ya mbao kama 30; Wavu kama roll moja pamoja na misumari ambayo siikumbuki. HAPO ndani nimetia sakafu ya simenti ni kama mifuko 2 na hapo nje ni vumbi tu au ukiweza weka maranda ya mbao juu yake....