Bandari inauzwa kwa waarabu, Gesi LNG inauzwa kwa uingereza, Mbowe, Lissu, Zitto mko wapi kupaza sauti?

Wacha mambo yako ya uzuzu wewe! Hivi ulikunywa wanzuki lita ngapi wakati ukiandika utumbo huu!
 
Magufuli alikuwa anauza bandari?
 
Hao uliowaita kutetea huwa wanaambiwa ni walamba asali au hawana ofisi.Kwa hiyo,wanaamini hata kuitetea nchi hawawezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…