Bandari na unafiki wa Watanganyika

Bandari na unafiki wa Watanganyika

Mzanzibari Huru

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
373
Reaction score
225
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
 
Sijui watu mnapata wapi muda wa kuandika pumba..
Ama kweli adui wa mtu ni fikra zake mwenyewe, dada Anita katika hoja nilozitoa katika makala yangu, ni point ipi unauweza kuthibitisha kitalaamu kuwa ni pumba? Sio kusema tu kama nimeleta pumba, ninataka ushahidi wa kitalaamu.

Ukweli ni adui na ndio maana ikawa watu hawaupendi. Pole dada lakini niliyosema ni ukweli mtupu.
 
Dah! Yaani Wazanzibari tumewalea kwa miaka yote hii, halafu leo mnadiriki kututukana matusi ya nguoni hadharani!
Tate Mkuu

Unasema nini baba? Unasema watanganyika mumetulea sisi wazanzibari? Hebu waulize wazee huko watakupa taarifa ya uhakika.

Sababu ya zanzibar kufukarika ni kuwepo na mikono yenu watanganyika nchini kwetu, kama nilivyosema watanganyika munapoweka mkono panageuka matope, ndio tulipofika zanzibar leo.

Tulipokuwa tunakuwataleni, tulikufundisheni ustaraabu hata wa kuvaa nguo. Leo munatutawala nyie hakuna zaidi ya usumbufu kila mwaka wa uchaguzi.
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
wewe ni mjingwa wa kiwango cha juu sana. ujinga wako hauna kipimo. pole sana.
 
wewe ni mjingwa wa kiwango cha juu sana. ujinga wako hauna kipimo. pole sana.

Ahsante Chapwa24 ujembe umefika na nakubaliana na weye kwamba me mjinga tena mie mjinga zaidi ya unavyofikiria weye. Na pia nakubaliana na weye kwamba weye mtanganyika ni mstaarabu sana kuliko unavyojidhani mwenyewe.

Lakini nakuomba ujuwe hili na uwausie watoto wako, pamoja na munavyojiona wastaarabu kuliko sisi wazanzibari, nyie mutakufa na ufukara wenu, pamoja na mali asilia mulizonazo. Yaani hata majani yakageuka pesa nyie bado mutakufa mafukara tu. Na mtataliwa tena, hamuna hila juu ya hilo.

Sie wazanzibari tumefukarishwa na kuwepo kwenu katika maisha yetu, yaani muungano bubu. Siku mukiondoa mikono yenu michafu, mutupe miaka mitano tu, mutaona matokeo. Zanzibar ina asili ya kuweza kutengeneza utajiri.
 
Habari, karibuni katika andiko langu la stories of Change 2023
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
Comments reserved
 
🤣🤣🤣 Kwahiyo haya ndo huwa mnajadili huko mchambawima mkikutana na bi mdashi?
Ndio mmemshauri auze urithi wa watoto wa Tanganyika?
Anyways sikuzote msimamizi wa mirathi hana uchungu na urithi wa watoto walioachwa,yeye huwaza namna ya kutapanya urithi ulioachwa na yeye kuokota embe dodo chini ya mnazi la kusimamia mirathi hiyo.yana mwisho🙏
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
Wewe ndo yule poti Rama?
 
🤣🤣🤣 Kwahiyo haya ndo huwa mnajadili huko mchambawima mkikutana na bi mdashi?
Ndio mmemshauri auze urithi wa watoto wa Tanganyika?
Anyways sikuzote msimamizi wa mirathi hana uchungu na urithi wa watoto walioachwa,yeye huwaza namna ya kutapanya urithi ulioachwa na yeye kuokota embe dodo chini ya mnazi la kusimamia mirathi hiyo.yana mwisho🙏

Mkuu Ironbutterfly

Tuseme kitu ambacho unajifanya hukijui ni kwamba tanganyika iliuzwa na kununuliwa zamani. Neyerere iliiuza sehemu moja ya tanganyika hapo hapo na ndio maana haipo tena leo. Mungano bubu ulikuwa mnada ya kuiuza sehemu hiyo ya tanganyika. leo wenye akili zao timamu wanalia machozi, maana nyie ni kama refugee ndani ya nchi iliyokuwa yenu.

Pili Nyere aliiuza fungu la pili la tanganyika kwa roman catholic, italy. hamna kitu mkuu huko tanganyika munamilikiwa na roman katoliki. Kujitatuwa hamuwezi. Hata muungano hamuthubutu kuuvunja mapaka mmiliki wenu roman catholic akubali. Hamna kitu mkuu narejea tena, kazi yenu itabaki porojo tu milele maisha na daima.
 
Dah! Yaani Wazanzibari tumewalea kwa miaka yote hii, halafu leo mnadiriki kututukana matusi ya nguoni hadharani!

Ndo wao wapa mtaani wanauza urojo na kumiliki ardhi hapa tanganyika.
Tatizo katiba na raisi kapata dodo baada ya kufa jpm.subiri 2025 ndio watajua hata JF sio ya wanzanzibari
 
Ndo wao wapa mtaani wanauza urojo na kumiliki ardhi hapa tanganyika.
Tatizo katiba na raisi kapata dodo baada ya kufa jpm.subiri 2025 ndio watajua hata JF sio ya wanzanzibari

Kaka Yake Shetani

Sawa kaka, chuki zako kwa wanzaibari umezitangaza hadharani na zimeeleweka

Lakini sisi wazanzibari tunadhani kama nyie watanganyika ni watu wa ajabu sana, ikiwa munadhani mutageuka ifikapo 2025, kwanini musingeuke kuanzia angalau 1967 wakati nyerere alipokutaifisheni mali zenu zoote, mbona kimyaa hadi leo hamusemi kitu? Nyerere angekuwa mzanzibari basi ingekuwa zogo la milele daima, yaani ingekuwa ni wimbo wa taifa wa watanganyika mzanzibari iliitaifa tanganyika nzima.

Na kama kweli munajiweza mungekuwa pengine leo kimaisha na kijamii baada ya miaka 62 ya uhuru bandia. mbona muko pale pale hahe hohe, kwanini musubiri 2025?

Mtanganyika ni yule yule daima sindimba, mdundiko, kuzini, kulewa, juma pili kwenda katika zile nyumba za ibada za wazungu, mukaambiwa funga macho towa sadaka, munampa pesa zenu mtu musiemuona, mukirudi nyumba kazi yenu porojo ovyo tu, bandari, wazanzibari wanauza nchi yetu, nchi yenu kauiza nyerere mbona muko kimyaaaaaa?

Kaka kweli sisi tilikuja tanganyika tukauza urojo, juice, hiki na kile hadi tukamiliki maardhi, majumba, na mambo mengi tu. Nyie watanganyika leo hii munatuletea huku kwetu zanzibar majambazi, ma malaya, walevi, wauza dawa za kulezya, wanaowanajisi watoto wadogo, na vijumba viiiiingi vya ibada ya wazungu, jumapili zogo la kwaya kila kona.

kaka labda weye kama mtanganyika unahitajia kuamka, kama hujui tanganyika ni mali ya zanzibar. Sie ndio tulioijenga tanganyika na tulikuwa na magavana wetu sehemu mbali mbali. tangayika ikiendeshwa kutokea zanibar, hili ni kabla kuja wanzungu. Soma kaka kwa faida yako.
 
Ahsante Chapwa24 ujembe umefika na nakubaliana na weye kwamba me mjinga tena mie mjinga zaidi ya unavyofikiria weye. Na pia nakubaliana na weye kwamba weye mtanganyika ni mstaarabu sana kuliko unavyojidhani mwenyewe.

Lakini nakuomba ujuwe hili na uwausie watoto wako, pamoja na munavyojiona wastaarabu kuliko sisi wazanzibari, nyie mutakufa na ufukara wenu, pamoja na mali asilia mulizonazo. Yaani hata majani yakageuka pesa nyie bado mutakufa mafukara tu. Na mtataliwa tena, hamuna hila juu ya hilo.

Sie wazanzibari tumefukarishwa na kuwepo kwenu katika maisha yetu, yaani muungano bubu. Siku mukiondoa mikono yenu michafu, mutupe miaka mitano tu, mutaona matokeo. Zanzibar ina asili ya kuweza kutengeneza utajiri.
Waamabie ukweli,baada ya kukaa bara na kutumia fursa zinazopatikana katika rasilimali ziliopo huko Tanganyika wakachimba madini,kuvua samaki au kulima kilimo cha kisasa wanakuja Zanzibar kuuza karanga,kumwagilia bustani za mahotel,kudanga,wnaranda zanzibar nzima kwa miguu wakikuuza mabeseni na dawa za promotion.Baadhi yenu baada ya kuwa WAJASIRIA MALI wamekuwa WAJASIRIA MWILI.Hata baba wa Taifa aliwaambia uchumi mnao lakini mnaukalia.Kwa ufukara walionao Watanganyika sio kudra ya Mungu ni ufukara wa kujitakia.Pia umasikini wenu unachangiwa na hao manaowaita wachungaji wa makanisa.Kwani wengi wao wapo katika biashara za kitapeli zaidi,baada ya kuwa watumishi wa Mungu wamekuwa watumishi wa shetani kwa kufanay kazi za waganga wa kienyeji kuliko tukoa huduma za kiroho.Yaani mtu anaacha ucomedy na kuanzisha kanisa lake kwa ajli ya kuzpata pesa za walalahoi. Mchungaji akitaka gari mnamchangia pesa,lakini wewe mfuasi ukitaka gari,nyumba au mke unaombewa.Hapa ndio mnapopigwa bila kujijua.Mwishowe baada yakuwa Watanganyika mtakuwa Wadanganyika.
 
Back
Top Bottom