Bandari na unafiki wa Watanganyika

Bandari na unafiki wa Watanganyika

🤣🤣🤣 Kwahiyo haya ndo huwa mnajadili huko mchambawima mkikutana na bi mdashi?
Ndio mmemshauri auze urithi wa watoto wa Tanganyika?
Anyways sikuzote msimamizi wa mirathi hana uchungu na urithi wa watoto walioachwa,yeye huwaza namna ya kutapanya urithi ulioachwa na yeye kuokota embe dodo chini ya mnazi la kusimamia mirathi hiyo.yana mwisho🙏
Akimaliza kuuza yeye atarudi Zanzibar
 
Ama kweli adui wa mtu ni fikra zake mwenyewe, dada Anita katika hoja nilozitoa katika makala yangu, ni point ipi unauweza kuthibitisha kitalaamu kuwa ni pumba? Sio kusema tu kama nimeleta pumba, ninataka ushahidi wa kitalaamu.

Ukweli ni adui na ndio maana ikawa watu hawaupendi. Pole dada lakini niliyosema ni ukweli mtupu.
Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?
 
makuwadi ya warabu yamechanganyikiwa baada ya kuhongwa hela za hongo lazima ziwatokee puani rudisheni hela za rushwa nyie warabu fake wa zanzibar.

Mkuu

Na weye nawe

Unajisikia sauti yako ukisema. Tanganyika na rushwa ni mwili na nguo, tangulini watanganyika mujali na muohoji rushwa? weye shida yako hukuzoea kuona maendeleo, hatukulaumu kwa hilo. Unaonaje angalau katika uhai wako ukashuhudia maisha mapya ya raha na mafanikio, umasiki wenu wakujitakia haukusaidieni kitu.

La pili umethibitisha kwamba weye upo katika usingizi mzito kiakili na kifikra, huu ni wakati wa kumaka

La tatu, ikiwa munataka maanedeleo ni kuhakikisha munatawaliwa na kuongozwa na wazanzibari yaani nusu na robo ya system iongozwe na wanzanizbari, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, makatibu wa miko ana waliya, na juu zaidi mawaziri na raisi, wakuu wa usalama, polisi na jeshi wekeni wanzanzibari tu, mutaona maisha yatakavyogeuka.
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
Akutukanaye hakuchagulii tusi, shukrani mtoa mada.
 
Akutukanaye hakuchagulii tusi, shukrani mtoa mada.

Proved

Tulia ugangwe, mkuki kwa nguruwe tu, samahani lakini sioni intelligence honesty katika majibu yako.

nyei mumesahau munavyotutukana wazanzibari? Munatutukana kwa mutumia katiba yenu, bunge lenu ofisi zenu za ccm, matusi ya nguoni, hatuoni immotional intelligence hata makanisani munatutukana pia.
 
Ahsante kwa taarifa, mambo yetu tuachiwe wenyewe...
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
Kwa hiyo kama hatuwezi kuendesha bandari zetu dawa ni kuziuza milele? Hivi huu upumbavu utakuisha lini?
 
Mkuu

Na weye nawe

Unajisikia sauti yako ukisema. Tanganyika na rushwa ni mwili na nguo, tangulini watanganyika mujali na muohoji rushwa? weye shida yako hukuzoea kuona maendeleo, hatukulaumu kwa hilo. Unaonaje angalau katika uhai wako ukashuhudia maisha mapya ya raha na mafanikio, umasiki wenu wakujitakia haukusaidieni kitu.

La pili umethibitisha kwamba weye upo katika usingizi mzito kiakili na kifikra, huu ni wakati wa kumaka

La tatu, ikiwa munataka maanedeleo ni kuhakikisha munatawaliwa na kuongozwa na wazanzibari yaani nusu na robo ya system iongozwe na wanzanizbari, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, makatibu wa miko ana waliya, na juu zaidi mawaziri na raisi, wakuu wa usalama, polisi na jeshi wekeni wanzanzibari tu, mutaona maisha yatakavyogeuka.
Mkuu unahangaika kuwaelewesha watu wanao endeshwa na chuki,sio kwamba hawakuelewi,wanakuelewa sana tu ila hawataki kukubaliana na ukweli,hapa utakesha bure tu.
 
Back
Top Bottom